Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Enzi za Mwalimu. J.K. Nyerere.
Kipindi cha baba wa taifa akiwa Rais, kila baada ya kikao cha baraza, alikuwa na tabia ya kumwambia waziri mmojawapo abaki. Waziri huyo aloambiwa alikuwa anakuwa na woga, wasiwasi yaani kuwa mkuu atamwamba nini. Vipi wakati wa Rais wa sasa (Mkulu)? akimwambia labda Ngeleja baki, unadhani ngeleja atakuwa na wasiwasi kama enzi za Nyerere?. Atajua dili jipya la kukata umeme, malizia na mengine.
Kipindi cha baba wa taifa akiwa Rais, kila baada ya kikao cha baraza, alikuwa na tabia ya kumwambia waziri mmojawapo abaki. Waziri huyo aloambiwa alikuwa anakuwa na woga, wasiwasi yaani kuwa mkuu atamwamba nini. Vipi wakati wa Rais wa sasa (Mkulu)? akimwambia labda Ngeleja baki, unadhani ngeleja atakuwa na wasiwasi kama enzi za Nyerere?. Atajua dili jipya la kukata umeme, malizia na mengine.