Enzi za mwalimu.

Enzi za mwalimu.

kingfish

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
571
Reaction score
159
Unaikumbuka hii
 

Attachments

  • JUMA NA ROZA.jpg
    JUMA NA ROZA.jpg
    71.5 KB · Views: 793
Ebana eeeh.... Hapa darasa la kwanza wanafundishwa kusoma na udini nao elements za udini zinaangamizwa. Hii ndo elimu iliyokuwa na vision na mision. Kumbe familia moja inaweza kuwa na watoto Juma, Roza, Fatuma, Johnson, Asnat, Hun Cho, Musharaf n.k na maisha yakawa poa kabisa. Mwalimu nomaaa!
 
Hapa mtoto lazima ajue kusoma ila sku hizi? Mhhhhh..... mtoto anagonga vidato tuu ila kusoma kwa mfululizo (flow) bado ni utata!
 
....Wakati Ualimu ulipokuwa Ualimu na Tanzania ilipokua Tanzania.... Walaaaniwe akina Yambari Nyangwine na wenzake including Shigongo kwa kuleta magazeti yanayoharibu watoto wetu
 
Ooooh, my.....rafiki ahsante sana kwa kutukumbusha enzi.....Juma na Roza............siku hizi wanasoma Scott na Michelle....full Ulaya ulaya kuanzia vidudu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom