Enzi za Chama kushika hatamu: Unakumbuka nini?

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
803
ebwana unakumbuka nini juu ya enzi zile za chama kushika hatamu? Ninachokumbuka mimi ni juu ya uwepo wa falsafa ya maendeleo chini ya utekelezaji wa mashirika ya umma. Nowdays mambo yapo tofauti sana!
 
sikumbiki chochote zaidi ya kujipanga asubuhi hadi jioni kusubiria vitu adimu, sukari, sabuni, chumvi kwenye duka letu la ushirika -- wakati huo supplier ni mmoja tu -- RTC. (R.I.P

Yes, nimekumbuka kingine, nikiwa darasa la sita sikukaa nielewe katiba ya CCM ambayo eti waliiweka kweye syllabus yetu, unakaririshwa wajumbe wa mikutano ya CCM toka kijiji hadi Taita - aisee sikupenda kitu ka hicho na hadi leo sikumbuki chochote.

Badala ya kutufundisha katiba ya nchi wao wanatukaririsha katiba ya CCM tukiwa wadogo, aisee CCM walikuwa ni wanoma.
 
Ilikuwa coupling au configuration ya Katiba ya nchi na katiba ya ccm!
Katiba ya nchi inatekelezwa kupitia katiba na sera za ccm!...huendi nje ya nchi kama huna kadi ya ccm!..Hiyo ndiyo chama kushika hatamu za serikali!
 
ebwana unakumbuka nini juu ya enzi zile za chama kushika hatamu? Ninachokumbuka mimi ni juu ya uwepo wa falsafa ya maendeleo chini ya utekelezaji wa mashirika ya umma. Nowdays mambo yapo tofauti sana!

mi nakumbuka chama kilikuwa na nguvu(ki-maamzi) kuliko bunge! Nakumbuka udikteta ulikithiri dhidi ya demokrasia. Angalau cku hiz tunaona bunge linavinguvu nguvu, japo bado sana mpaka hapo wa bunge wa sisiem watakapoacha ushabik na unafiki ktk kufanya maamzi yenye maslahi kwa taifa!
 
tehe tehe maisha yalikuwa magumu mnoo. kila kitu ilikuwa CCM thanks to Gorbechev aliyeuvunja u comunist kile ulaya mashariki mtikisiko ukafika mpaka Africa, eti wakajidai kuupokea mfumo wa Vyama vingi
 
Kitabu cha kiswahili cha darasa la tatu mashairi ya ahadhi kumi za mwana tanu.nitakuwa mtiifu waserekali na watu wake.
 
Nakumbuka misemo ya ajabu ajabu ambayo sasa hivi ukiisema tu wenye hela wanakufunga. Mfano' ubepari ni unyama!(uwekezaji) makabaila!(wahisani) mabwanyenye(wafadhili) twende geza ulole, ujamaa ni imani!....aagh! Nachoka. Kuna siku Mwenyekiti wa chama alikuja eneo letu,kwa kiherehere cha katibu kata akakimbilia kufungua mlango wa gari kabla usalama wa taifa hawajafungua, wee alipigwa kibao kimoja cha kufa mtu! Akazunguka kama pia! Baada ya maumivu akasema,"jeuri ya chama"!
 
Nakumbuka misemo ya ajabu ajabu ambayo sasa hivi ukiisema tu wenye hela wanakufunga. Mfano' ubepari ni unyama!(uwekezaji) makabaila!(wahisani) mabwanyenye(wafadhili) twende geza ulole, ujamaa ni imani!....aagh! Nachoka. Kuna siku Mwenyekiti wa chama alikuja eneo letu,kwa kiherehere cha katibu kata akakimbilia kufungua mlango wa gari kabla usalama wa taifa hawajafungua, wee alipigwa kibao kimoja cha kufa mtu! Akazunguka kama pia! Baada ya maumivu akasema,"jeuri ya chama"!
Mkuu itakuwa pale Kihesa! Tehe tehe
 
sikumbiki chochote zaidi ya kujipanga asubuhi hadi jioni kusubiria vitu adimu, sukari, sabuni, chumvi kwenye duka letu la ushirika -- wakati huo supplier ni mmoja tu -- RTC. (R.I.P

Yes, nimekumbuka kingine, nikiwa darasa la sita sikukaa nielewe katiba ya CCM ambayo eti waliiweka kweye syllabus yetu, unakaririshwa wajumbe wa mikutano ya CCM toka kijiji hadi Taita - aisee sikupenda kitu ka hicho na hadi leo sikumbuki chochote.

Badala ya kutufundisha katiba ya nchi wao wanatukaririsha katiba ya CCM tukiwa wadogo, aisee CCM walikuwa ni wanoma.
Mkuu kulikuwa na maduka ya Kaya pia kulikuwa na Shirika la Ugawaji la Taifa. Kulikuwa na raba mtoni, akin Mama walikuwa wakipaka mafuta yanaitwa Ladyguy!
Tulikuwa tunadumisha fikra sahihi za mwenyekiti wa chama.
 
Nakumbuka siku aliyokuwa akija Rais tulikuwa tunafunga shule kwenda kujipanga barabarani kutwa nzima ili akipita tumpunge mikono!Hii haikuwa hiari ilikuwa ni lazima
 
Nakumbuka ile slogan Yao ya 'zidumu fikra za mwenyekiti'. Dah! Umbumbumbu ule?!!
 
sikumbiki chochote zaidi ya kujipanga asubuhi hadi jioni kusubiria vitu adimu, sukari, sabuni, chumvi kwenye duka letu la ushirika -- wakati huo supplier ni mmoja tu -- RTC. (R.I.P

Yes, nimekumbuka kingine, nikiwa darasa la sita sikukaa nielewe katiba ya CCM ambayo eti waliiweka kweye syllabus yetu, unakaririshwa wajumbe wa mikutano ya CCM toka kijiji hadi Taita - aisee sikupenda kitu ka hicho na hadi leo sikumbuki chochote.

Badala ya kutufundisha katiba ya nchi wao wanatukaririsha katiba ya CCM tukiwa wadogo, aisee CCM walikuwa ni wanoma.

Pole kwa yaliyokusibu utotoni. Chezea CCM wewe?!
 
Nakumbuka siku aliyokuwa akija Rais tulikuwa tunafunga shule kwenda kujipanga barabarani kutwa nzima ili akipita tumpunge mikono!Hii haikuwa hiari ilikuwa ni lazima

Mwezi mmoja kabla tulikuwa tukijiandaa kwa nyimbo!
 
Mkuu kulikuwa na maduka ya Kaya pia kulikuwa na Shirika la Ugawaji la Taifa. Kulikuwa na raba mtoni, akin Mama walikuwa wakipaka mafuta yanaitwa Ladyguy!
Tulikuwa tunadumisha fikra sahihi za mwenyekiti wa chama.

Kidumu chama cha ......?
 
Nakumbuka misemo ya ajabu ajabu ambayo sasa hivi ukiisema tu wenye hela wanakufunga. Mfano' ubepari ni unyama!(uwekezaji) makabaila!(wahisani) mabwanyenye(wafadhili) twende geza ulole, ujamaa ni imani!....aagh! Nachoka. Kuna siku Mwenyekiti wa chama alikuja eneo letu,kwa kiherehere cha katibu kata akakimbilia kufungua mlango wa gari kabla usalama wa taifa hawajafungua, wee alipigwa kibao kimoja cha kufa mtu! Akazunguka kama pia! Baada ya maumivu akasema,"jeuri ya chama"!

Chezea mafisadi wewe?
 
Back
Top Bottom