Yaani usiseme kabisa, kodroy zipo bado mjini ila hiyo YU for Men niliikuta mwaka jana pale Nakumati Nairobi yaani usiseme! Halafu nikakutana na Ambi (Lotion na sabuni yake) Kwa wakina dada wa enzi hizo watasema lolote, kweli viwanda vyetu hoi hata Gardenia na malaika siku hizi sizioni na kama zikitoka utakutakuta jamaa zetu wach... wametia moko, we haya we!!!!?!!!!!!!