Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,824
- Thread starter
-
- #61
Mariamu
ataka yote akosa yote
apita ahangaika asijue la kufanya ... asijue la kufanya
mshika mawili yote yamponyoka
apita akebakeba asijiue la kujitetea
mmmhhh mapenzi yawaka moto
naitika nilikukosea sasa nihurumie
si ninafikiri zaidi kuliko wewe
nakonda kama mnazi kwa mapenzi nilionayo
nilalapo nakuota mchana kutwa sili
moyo wanichechemea mwili damu hukauka
penzii eh ..... mmmh penzi eh x 2
nasumbuka kwako unionavyo moyo wangu
wewe ndio dawa yangu
Maraimu wangu
Tanga mbali
waja leo wondoka leoo
waja leo warudi leo
Mariamu bibi
mwenzenu sina pumuzi kujizuwia siwezi ohhh
mwanaume barabara kazi ya mume kwa mke
neno ya mke chumvi kwa mumewe
neno ya muke kachumbari kwa mumewe
penzi oh penzi likamung'uma he heh heh
likamung'uma hen heh heh .... mmhhhh
mdundiko, mdundiko ........ waaaaaa
mdundiko ...... waaaa
V.I.P-Jerry Nashon 'Dudumizi"
(Wote): Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo,
(Dudumizi): Si maji wala Soda vitakavyozima kiu yangu,ila ni wewe VIP,
Si maji wala Soda vitakavyozima kiu yanguuu,iila ni weweeeee,VIP
Baada ya kazi ngumu ya kutafuta pesa,na kisirani cha kufokewa na boss,
Nahitaji VIP wa kunibembeleza,nakutaka wewe mama,unibembeleze,
Si kwa maneno ila kunitomasatomasa,kwa mikono yako laini yenye bangili,
Unipe busu mwanana la kunipumbaza wee (VIP).
Baada ya kazi ngumu ya kutafuta pesa,na kisirani cha kufokewa na boss,
Nahitaji VIP wa kunibembeleza,nakutaka wewe mama,unibembeleze,
Si kwa maneno ila kunitomasatomasa,kwa mikono yako laini yenye bangili,
Unipe busu mwanana la kunipumbaza wee (VIP)
(Wote): Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo,
Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo.
Dudumizi: VIP sogea karibu,ubipe busu mwanana mama
(Wote): Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo,
Bridge
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP,
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP
Natamani penzi live sio penzi la ndotoni,nakuomba uwe wangu VIP,
Tafadhali nakusihi, ili niondokane na ndoto za mapenzi.
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP,
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP
Natamani penzi live sio penzi la ndotoni,nakuomba uwe wangu VIP,
Tafadhali nakusihi, maaa mamaa,maaa....maaa yoooo,maa mamamaaaaaaaaaaaaaaa,
Tafadhali nakusihi, ili niondokane na ndoto za mapenzi.
Dudumizi: Ukinikubali VIP,mimi niko tayari,kubadili dini,
Ukinikubaliii VIP mimi niko tayari,kubadili dini,
Hata kama wazazi wangu hawapendi,nitafanyafanya mipango niwe na wewe sambamba(sambamba)
nitafanyafanya mipango niwe nawee sambambaaa
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
Ukinikubalii VIP,mimi niko tayari kubadili dini,
Ukinikubalii VIP,nitatoa mahaliii ya mbuzi saba,
Hata kama sina VIP,nitafanyafanya mipango niwe na wewe sambamba(sambamba) nitafanyafanya mipango niwe na wewe
sambamba.
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
V.I.P-Jerry Nashon 'Dudumizi"
(Wote): Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo,
(Dudumizi): Si maji wala Soda vitakavyozima kiu yangu,ila ni wewe VIP,
Si maji wala Soda vitakavyozima kiu yanguuu,iila ni weweeeee,VIP
Baada ya kazi ngumu ya kutafuta pesa,na kisirani cha kufokewa na boss,
Nahitaji VIP wa kunibembeleza,nakutaka wewe mama,unibembeleze,
Si kwa maneno ila kunitomasatomasa,kwa mikono yako laini yenye bangili,
Unipe busu mwanana la kunipumbaza wee (VIP).
Baada ya kazi ngumu ya kutafuta pesa,na kisirani cha kufokewa na boss,
Nahitaji VIP wa kunibembeleza,nakutaka wewe mama,unibembeleze,
Si kwa maneno ila kunitomasatomasa,kwa mikono yako laini yenye bangili,
Unipe busu mwanana la kunipumbaza wee (VIP)
(Wote): Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo,
Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo.
Dudumizi: VIP sogea karibu,ubipe busu mwanana mama
(Wote): Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,
Ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo,
Bridge
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP,
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP
Natamani penzi live sio penzi la ndotoni,nakuomba uwe wangu VIP,
Tafadhali nakusihi, ili niondokane na ndoto za mapenzi.
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP,
Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwako,kwa uzuri ulionao VIP
Natamani penzi live sio penzi la ndotoni,nakuomba uwe wangu VIP,
Tafadhali nakusihi, maaa mamaa,maaa....maaa yoooo,maa mamamaaaaaaaaaaaaaaa,
Tafadhali nakusihi, ili niondokane na ndoto za mapenzi.
Dudumizi: Ukinikubali VIP,mimi niko tayari,kubadili dini,
Ukinikubaliii VIP mimi niko tayari,kubadili dini,
Hata kama wazazi wangu hawapendi,nitafanyafanya mipango niwe na wewe sambamba(sambamba)
nitafanyafanya mipango niwe nawee sambambaaa
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
Ukinikubalii VIP,mimi niko tayari kubadili dini,
Ukinikubalii VIP,nitatoa mahaliii ya mbuzi saba,
Hata kama sina VIP,nitafanyafanya mipango niwe na wewe sambamba(sambamba) nitafanyafanya mipango niwe na wewe
sambamba.
(Wote): Binadamu hanunuliwi kama nguoo VIP,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako
Utanitoroka.
Heshima yako mkuuKesi ya Khanga(Monica)-ZAITA Musica
Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee
Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh
Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh
Kwa bahati nzuri wakina dada wa siku hiziWakuu Balantanda na wengine kuna ule wimbo wa Vijana Jazz Wana pamba moto unaoitwa Zainabu ambao katika safu ya waimbaji walikuwa Jerry Nashon"Dudumizi" ,Adam Bakari"sauti ya zege" na Fred Benjamin. Naomba mwenye mashairi na ikiwezekana hata video yake auweke hapa.
the best song of all timeSalama wakuu.....Leo tupitiepitie baadhi ya nyimbo za Nguza Vicking,kwa kuanzia tunze na wimbo wa Kadiri ka Nsimba
Uaminifu wa mapendo ee naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,
Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga
Uaminifu wa mapendo ee naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,
Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga
Nilikutimizia mahitaji yako ee ee mama,nilikulindia heshima yako ee ee mama,
Nilikutimizia mahitaji yako ee ee mama,nilikulindia heshima yako ee ee mama,
Ooooo nikupe nini sasa we mama,Ooooo nifanye nini sasa we mama,
Ooooo sasa tuko wapi oooo,Kadiri ka Nsimba unieleze ukweli wako mama...
Oooooo nikupe nini sasa we mama,Ooooooo nifanye nini sasa we mama,
Oooooo sasa tuko wapi oooo,Kadiri ka Nsimba unieleze ukweli wako mama...
Kwa mara ya kwanza nimekuona,nimekusamehe,mara ya pili tena umenidanganya eti mjomba wako,
Kwa mara ya kwanza nimekuona,nimekusamehe,mara ya pili tena umenidanganya eti mjomba wako,
Oooo Kadiri tumetoka mbali mimi na wewe,Oooooo Kadiri tumetoka mbali mimi na wewe,
Ooooo nikupe nini sasa we mama,Ooooo nifanye nini sasa we mama,
Ooooo sasa tuko wapi oooo,Kadiri ka Nsimba unieleze ukweli wako mama...
Oooooo nikupe nini sasa we mama,Ooooooo nifanye nini sasa we mama,
Oooooo sasa tuko wapi oooo,Kadiri ka Nsimba unieleze ukweli wako mama...
Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga
Uaminifu wangu mama naonekana zoba,uminifu wangu mie naonekana mjinga,
nifanye nini sasa sheri sema nijue mama,nikupe nini sasa mie sema nijue mama,
Mama Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,mama Kadiri ka Nsimba naonekana zoba
Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,
Iringa Chunya Mwanza kote nimekwenda,Iringa Chunya Kigoma kote nimefika,
nifanye nini sasa sheri mapenzi yangu kwako ni bure,nikupe nini sasa mie mapenzi yangu kwako ni bure,
Mama Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,mama Kadiri ka Nsimba naonekana *****
Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,
Iringa Chunya Tangaa kote nimekwenda,Iringa Chunya Arusha kote nimefika,
nifanye nini sasa sheri mapenzi yangu kwako ni bure,nikupe nini sasa mie mapenzi yangu kwako ni bure,
Mama Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,mama Kadiri ka Nsimba naonekana *****
Kadiri ka Nsimba (Mama Kadiri) naonekana mjinga,Kadiri ka Nsimba naonekana mjinga,
E kanyungunyungu nyungulula,E kanyungunyungu e nyungulula,
E kanyungunyungu nyungulula,E kanyungunyungu e nyungulula,
E kanyungunyungu nyungulula,E kanyungunyungu e nyungulula,
the best one mkuuSalama wakuu?......Naona kimya sana,mmeamua kuupotezea muziki wetu mtamu wa Enzi hizo....
Haya ni weekend nyingine tena,Ijumaa ya leo naomba tuwaangalie wana Orchestra Marquis Original wana Zembwela na baadae Sendema....Kundi hili lilikuwa linaundwa na wakali kama Tshimanga Kalala Assosa,Issa Nundu,Mukumbule Lulembo 'Parash',Mbuya Makonga 'Adios',Banza Mchafu.Dekula Kahanga 'Vumbi',Bobo Sukari,Fredito Butamu,Mbwana Kocks,Kabea Badu,Mutombo Audax na wakali wengine kibao.....Hawa jamaa walikuwa ni noma wakuu.......
Kwa leo tuanze kuangalia kitu Ngalula utunzi wake 'Mutoto Muzuri' Tshimanga Kalala Assosa.....Wanamuziki walioshiriki kuimba na kupiga vifaa/vyombo vya wimbo huu ni hawa wafuatao(I stand to be corrected wakuu maana ni muda umepita)...
Waimbaji: Tshimanga Kalala Assosa, Mukumbule Lulembo 'Parash', Kabeya Badu, Mutombo Audax, na Issa Nundu,
Gitaa la solo lilipigwa na 'Vumbi' Dekula Kahanga na second solo alipiga Mbwana Kocks,
Gitaa la Rhythm alipiga William Maselenge,
Gitaa la bass alipiga Banza Mchafu,
Kinanda alipiga Mbuya Makonga 'Adios',
Trumpet zilipulizwa na Kaumba Kalemba akishirikiana na Ngoyi Mubenga,
Saxaphone zilipulizwa na Mukuna Roy akishirikiana na Bery Kankonde,
Tumba zilipigwa na Seif Said,
Drums zilicharazwa na Matei Joseph.
Tuuangalie wimbo wenyewe wa Ngalula sasa(I like the song wakuu wangu):
Kinachonifanya nishindwe kuamua ee mama ee....ee najua mwenyewe,ee mama...
Pamoja na vituko vyake mama ee,bado namuhitaji masihani ee,ee najua ee Ngalula,ee nimekuzoea ee,shanganga Ngalula,ananielewa vizuri mama ee kuliko mtu yeyote ee mama,shida na raha zangu Ngalula anazielewa,jamani Ngalula nimekusamehe mama,jamani Ngalula nitamvumilia nione mwisho wake,ee mama aa,ee mama aa........aaaaaaaaa Vumbi......Kahanga.
Kinachonifanya nishindwe kuamua ee mama ee....ee najua mwenyewe,ee mama...
Pamoja na vituko vyake mama ee,bado namuhitaji masihani ee,ee najua ee Ngalula,ee nimekuzoea ee,shanganga Ngalula,ananielewa vizuri mama ee kuliko mtu yeyote ee mama,shida na raha zangu Ngalula anazielewa,jamani Ngalula nimekusamehe mama,jamani Ngalula nitamvumilia nione mwisho wake,ee mama aa,ee mama aa.
Bridge
Ngalula mama,Ngalula wangu mama ee,Ngalula mama,ziba masikio,
Ngalula mama,Ngalula wangu mama ee,ni maji ya moto mama,yatapoa mama.
Ngalula mama,Ngalula wangu mama ee,Ngalula mama,ziba masikio,
Ngalula mama,Ngalula wangu mama ee,ni maji ya moto mama,yatapoa mama.
Yeeeeeeeee,ewalaaaaaaa,
Yeeeeeeeee,ewalaaaaaaa,
Yeeeeeeeee,ewalaaaaaaa
Zembwela.....Zembwela....Vumbi......Vumbi.....Vumb i.....Sendema,Sendema.....Vumbi
Vumbi.....Vumbi.....Sendema,Sendema.....Vumbi
mkuu hii co mchezoSasa tuangalie kitu Makumbele namba 1
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Nitarudi kwa baba na mama mawazo yangu yote ni kwa watoto Makumbele,
Mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau,mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau.
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Nitarudi kwa baba na mama mawazo yangu yote ni kwa watoto Makumbele,
Mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau,mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau.
Bridge
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
Kama nilikukosea ungesubiri mpenzi ee,kma nilikukosea naomba msamaha,
Kama nilikukosea ungesubiri mpenzi ee,kma nilikukosea naomba msamaha,
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
.................Yaaaaaaaaaa...........Zembwelaaaa aaaaa
.................Yaaaaaaaaaa...........Zembwelaaaa aaaaa
.................Yaaaaaaaaaa...........Zembwelaaaa aaaaa
Mkuu asante kwa kumbukumbu hizi.Sasa tuangalie kitu Makumbele namba 1
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Nitarudi kwa baba na mama mawazo yangu yote ni kwa watoto Makumbele,
Mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau,mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau.
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Makumbele nimevumilia mengi,sijakutendea kosa mpenzi wee,
Nimevumilia mengi mpenzi wangu baba watoto Makumbele,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Lakini leo,nimefika mwisho,kwa kweli mpenzi si kawaida yangu,
Nitarudi kwa baba na mama mawazo yangu yote ni kwa watoto Makumbele,
Mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau,mazoea pia yana tabu yake,nitajitahidi mpenzi nitayasahau.
Bridge
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
Kama nilikukosea ungesubiri mpenzi ee,kma nilikukosea naomba msamaha,
Kama nilikukosea ungesubiri mpenzi ee,kma nilikukosea naomba msamaha,
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
Rudi ee rudi mama watoto,umetoroka nyumbani bila taarifa yoyote mama,
.................Yaaaaaaaaaa...........Zembwelaaaa aaaaa
.................Yaaaaaaaaaa...........Zembwelaaaa aaaaa
.................Yaaaaaaaaaa...........Zembwelaaaa aaaaa