Nasikitika
Nasikitika yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............Maisha yamenijia magumu,nashindwa la kusema....mmmmmmmmmmm
Nasikitika eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............Maisha yamenijia magumu,nashindwa la kusema
Nasikitika eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............Maisha yamenijia magumu,nashindwa la kusema
Ningeelewa walimwengu ni wachina,mimi nisingekubali kuzaliwa,nsingekubali kuzaliwa ee,lakini nimedanganyika,wakati nalikuwa mdogo,nalikuwa nabebwa,nalikuwa nabembelezwa,nalikuwa nalishwa ee,sikutegemea kama leo nitakuwa hivi,eeeeeeee...
Ulimwengu uwanja wa mapambano,kila mtu kujitafutia,kula kwa tabu,kuvaa kwa tabu,kila kitu kwa shida....
Ilimwengu umejaa maovu,walimwengu tumezingirwa,magonjwa chungu nzima,hata ukijifanya wewe mlevi wa Gongo jirani yako anawagombanisha mke wako na watoto wako anawapika bila sababu kwa tabu,hata ukijifanya wewe mpenda mabibi mabwana hamsini lakini ujihadhari na Ukimwi utapata ukavu kwa tabu......
Ulimwengu imani imekwisha,imani imekwisha,imani imekwisha,watu wameota mapembe,hata watoto zetu heshima hawana tena,imani imekwisha,imani imekwisha,imani imekwisha....
Ulimwengu hakuna raha,hata ukiwa na mapesa ulimwenguni,porini hawakujui,mnyama hakujui,nyoka hakunujui,hasa mbu hakujui,hata ukiwa mheshimiwa ulimwenguni,majani haikujui,porini haikujui...
Ulimwengu uwanja wa mapambano,kila mtu kujitafutia,kula kwa tabu,kuvaa kwa tabu,kila kitu kwa shida....
Nasikitika eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....
Nasikitika yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............Maisha yamenijia magumu,nashindwa la kusema
Nasikitika eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............Maisha yamenijia magumu,nashindwa la kusema
Nasikitika eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............Maisha yamenijia magumu,nashindwa la kusema........mmmmm........eeeeeeee
Nasikitika eeeee....kula kwa tabu,kuvaa kwa tabu,kila kitu kwa shida.......eeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,mmmmmmmmmmmmmmm