Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Huu natoa kama wito kwa wanaume wote ambao tuna wake wazuri, wake wanaojiheshimu ambao tuna wife matirial.
Hivi unaanzaje kumutukana mkeo?
Hivi unaanzaje kumpiga mkeo?
Hivi unaanzaje kumufanyia zarau mkeo?
Hivi unaanzaje kuchepuka na kumukosesha amani na raha mkeo?
Hivi unaanzaje kunuka mipombe pombe tena mibalimi kwa mkeo?
Tuwapendeni wake zetu jamani.
Hivi mwanaume mzima unashindwa kweli kumununulia mkeo hata kigari kama aliteza chenye usajili walau wa si hata cha milioni 4.5.
Ni hayo tu wakuu.
Mario msitoe mapovu maana nyie mmezoe vya dezo.
MKE NI ZAIDI YA NDUGU
MKE NI ZAIDI YA RAFIKI
MIMI NAMPENDA MKE WANGU MBITIYAZA
LONDON BABY
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Huu natoa kama wito kwa wanaume wote ambao tuna wake wazuri, wake wanaojiheshimu ambao tuna wife matirial.
Hivi unaanzaje kumutukana mkeo?
Hivi unaanzaje kumpiga mkeo?
Hivi unaanzaje kumufanyia zarau mkeo?
Hivi unaanzaje kuchepuka na kumukosesha amani na raha mkeo?
Hivi unaanzaje kunuka mipombe pombe tena mibalimi kwa mkeo?
Tuwapendeni wake zetu jamani.
Hivi mwanaume mzima unashindwa kweli kumununulia mkeo hata kigari kama aliteza chenye usajili walau wa si hata cha milioni 4.5.
Ni hayo tu wakuu.
Mario msitoe mapovu maana nyie mmezoe vya dezo.
MKE NI ZAIDI YA NDUGU
MKE NI ZAIDI YA RAFIKI
MIMI NAMPENDA MKE WANGU MBITIYAZA
LONDON BABY