The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
GT
Mara zote kwenye uongo ukweli hujitenga pia mafuta na maji havichangamani.
Nachoshukuru hawa virusi na vibaraka wa CCM wataondoka mmoja baada ya mwingine hadi tuwajue wote
Chini ya mwenuekiti wetu mpya Mheshimiwa Tundu Lissu Chadema inaenda kujengwa upya juu ya msingi imara.
Tanzania hatuna shida na nguvu kazi nategemea Chadema itapata vijana wapya wenye ari na nguvu ya kulipigania Taifa.
Uzuri ni kwamba Chadema inauzoefu mkubwa sana wa kupoteza Viongozi wake wa ngazi ya juu na kujipanga upya kwa hiyo hakuna wasi wasi wowote.
Wale waliolambishwa Asali waende tu. Chadema itazidi kuwepo milele na milele haifi ila hao vibaraka ndo watakufa na kuiacha.
Mods "uzi wangu usiunganishwe"
Mara zote kwenye uongo ukweli hujitenga pia mafuta na maji havichangamani.
Nachoshukuru hawa virusi na vibaraka wa CCM wataondoka mmoja baada ya mwingine hadi tuwajue wote
Chini ya mwenuekiti wetu mpya Mheshimiwa Tundu Lissu Chadema inaenda kujengwa upya juu ya msingi imara.
Tanzania hatuna shida na nguvu kazi nategemea Chadema itapata vijana wapya wenye ari na nguvu ya kulipigania Taifa.
Uzuri ni kwamba Chadema inauzoefu mkubwa sana wa kupoteza Viongozi wake wa ngazi ya juu na kujipanga upya kwa hiyo hakuna wasi wasi wowote.
Wale waliolambishwa Asali waende tu. Chadema itazidi kuwepo milele na milele haifi ila hao vibaraka ndo watakufa na kuiacha.
Mods "uzi wangu usiunganishwe"