Hata mie kimya , cjui ndo imekuajeHabari wakuu,vipi mwenye taarifa zozote kuhusu mchakato mzima wa hii position.Je wameishaita watu kwenye usaili hama bado maana kwangu mimi bado naona kimya.Tafadhali mwenye taarifa zoote naomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa, maana hata Mimi niliona kimya nikajua wameshaita. But wangesema all successfully candidate will be contacted in which date ingekua poa zaidi ili tarehe ikipita mtu usipate tabu ya kupay attention.
mkuu hauko mwanza ukawachek labda wana updates yoyoteKweli kabisa, maana hata Mimi niliona kimya nikajua wameshaita. But wangesema all successfully candidate will be contacted in which date ingekua poa zaidi ili tarehe ikipita mtu usipate tabu ya kupay attention.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua huko last week baada ya kupeleka barua pale agha khan kwa sasa Niko singida. Wacheki kuna number yao pale chini waliweka.mkuu hauko mwanza ukawachek labda wana updates yoyote
Empty set mkuuWakuu kuna aliyebahatika kuitwa?? au ndo tuandike maumivu....
Figisu kila kona....da!