Mwigulu Jisandu
Member
- Jul 1, 2010
- 32
- 2
Je wajua kwa serikari ya Kikwete milioni mia saba(700 million) zimetumika kutengenezea matundu 8 ya choo cha shule ya msingi? Na ni jumla ya shilingi Bilion 3.2 zimetumika kwa mradi huo kwa manispaa ya Bagamoyo? Ni jimbo la Bgamoyo atokapo kikwete, Alafu wanasimama vifua mbele wakisema elimu bure Tanzania haiwekani, ENOUGH IS ENOUGH
Hebu watanzania wenzangu tuamke na tupende maendeleo ya kweli, lets try Slaa, i trust this man, He can make the true and positive changes, achaneni na hizi ahadi zisizotimilikika na mikataba inayofanikisha watu wachache wliojaa umimi na kutaka kuwakandamiza watanzaia ili wasiamke kwa kuelimika.ENOUGH IS ENOUGH
Ikiwa enzi za mwalimu elimu bure iliwezekana nao wakasoma bure ila sasa wapo kwenye system hawataki wengine wajikomboe kwani watajua ukweli wa mambo..ENOUGH IS ENOUGH
Jana eti alikuwa mbaya kwa kutumia madaraka vibaya tukamfukuza uongozi, leo eti ni yeye anfaa, nanukuu: yaliopita si ndwele tugange ya mbele....ENOUGH IS ENOUGH
Hivi ni kweri hakuna watu wengine walioelimika na uwezo wa kufanya kazi aliokuwa anaifanya yeye?? au kama si kutumia zile fedha alizoiba ili kumfanya arudi tena madarakani aendelee kuiba ili arudishe na hizi anazo tumia leo.ENOUGH IS ENOUGH
Hamka mtanzania mwenzangu, itumie vizuri kura yako, Ni mmoja aliotoa mstakabali na hatiba ya hawa mafidadi kwa kuwafirisi na kuwatoa madarakani kwa nini tusimjaribu yeye??ENOUGH IS ENOUGH
Waliomba mara ya kwanza wakashindwa, eti walikuwa wanajifunza kazi, miaka mitano, tena anakuja kifua mbele nipeni kura zenu ili sasa nitumike ya kweli haya?????
Ile ya mwanzo ambayo unatakiwa utumike vizuri ili wakurudishe kwenye awamu nyingine ameharibu, iweje hii ngwe ya lala salama ambayo hata ukitenda nini lazima uondoke hatafanya nini?ENOUGH IS ENOUGH
Zinduka mtanzania,ENOUGH IS ENOUGH AND I REPEAT ENOUGH IS ENOUGH
Hebu watanzania wenzangu tuamke na tupende maendeleo ya kweli, lets try Slaa, i trust this man, He can make the true and positive changes, achaneni na hizi ahadi zisizotimilikika na mikataba inayofanikisha watu wachache wliojaa umimi na kutaka kuwakandamiza watanzaia ili wasiamke kwa kuelimika.ENOUGH IS ENOUGH
Ikiwa enzi za mwalimu elimu bure iliwezekana nao wakasoma bure ila sasa wapo kwenye system hawataki wengine wajikomboe kwani watajua ukweli wa mambo..ENOUGH IS ENOUGH
Jana eti alikuwa mbaya kwa kutumia madaraka vibaya tukamfukuza uongozi, leo eti ni yeye anfaa, nanukuu: yaliopita si ndwele tugange ya mbele....ENOUGH IS ENOUGH
Hivi ni kweri hakuna watu wengine walioelimika na uwezo wa kufanya kazi aliokuwa anaifanya yeye?? au kama si kutumia zile fedha alizoiba ili kumfanya arudi tena madarakani aendelee kuiba ili arudishe na hizi anazo tumia leo.ENOUGH IS ENOUGH
Hamka mtanzania mwenzangu, itumie vizuri kura yako, Ni mmoja aliotoa mstakabali na hatiba ya hawa mafidadi kwa kuwafirisi na kuwatoa madarakani kwa nini tusimjaribu yeye??ENOUGH IS ENOUGH
Waliomba mara ya kwanza wakashindwa, eti walikuwa wanajifunza kazi, miaka mitano, tena anakuja kifua mbele nipeni kura zenu ili sasa nitumike ya kweli haya?????
Ile ya mwanzo ambayo unatakiwa utumike vizuri ili wakurudishe kwenye awamu nyingine ameharibu, iweje hii ngwe ya lala salama ambayo hata ukitenda nini lazima uondoke hatafanya nini?ENOUGH IS ENOUGH
Zinduka mtanzania,ENOUGH IS ENOUGH AND I REPEAT ENOUGH IS ENOUGH