Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,480
TUNAWEZA learning centre tunatoa huduma ya kujifunza kiingereza (English course ) kwa watu wazima.
Tunapatikana Mbezi Africana na muda wa masomo ni jioni saa 11 mpaka saa 1, kuanzia jumatatu mpaka jumamosi. Njia zetu za ufundishaji ni nzuri na rahisi kwa wale wanaopenda kuongea kiingereza kwa ufasaha.
Form za kujinga na darasa letu zinapatikana Africana Pub, muda kuanzia saa 10 mpaka saa 12 jumatatu - jumapili. Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0712275833
WAHI SASA.
Tunapatikana Mbezi Africana na muda wa masomo ni jioni saa 11 mpaka saa 1, kuanzia jumatatu mpaka jumamosi. Njia zetu za ufundishaji ni nzuri na rahisi kwa wale wanaopenda kuongea kiingereza kwa ufasaha.
Form za kujinga na darasa letu zinapatikana Africana Pub, muda kuanzia saa 10 mpaka saa 12 jumatatu - jumapili. Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0712275833
WAHI SASA.