English course British council

English course British council

mtoto mpole

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2010
Posts
678
Reaction score
148
Samahanini wadau kwa yoyote ambae amesoma English course pale British council. Je ufanisi wao upoje? Sawa najua kuelewa ni juhudi za mwanafunzi lakin na walimu wanachangia, any idea ya hapo nataka kusoma English course, kuongea.
 
Samahanini wadau kwa yoyote ambae amesoma English course pale British council. Je ufanisi wao upoje? Sawa najua kuelewa ni juhudi za mwanafunzi lakin na walimu wanachangia, any idea ya hapo nataka kusoma English course, kuongea.

Nakumbuka mwalimu wangu Mr. Muhandeni mtaalamu wa mambo ya Taxation na Auditing Alisema ‘‘‘ hata kama una Masters kusoma English course siyo dhambi na ukijua vingi unakua huru’’’ Kila la heri mkuu!


Ila naskia wako vizuri sana Kama Mke wa Rais wa awamu ya nne walimfundisha akajua nahisi haitakua vigumu kwako.
 
Nakumbuka mwalimu wangu Mr. Muhandeni mtaalamu wa mambo ya Taxation na Auditing Alisema ‘‘‘ hata kama una Masters kusoma English course siyo dhambi na ukijua vingi unakua huru’’’ Kila la heri mkuu!


Ila naskia wako vizuri sana Kama Mke wa Rais wa awamu ya nne walimfundisha akajua nahisi haitakua vigumu kwako.

hahahhhh mzee yule ni noumer anayo masters ya science in accounting and finance. hahahhhh muco
 
Nakumbuka mwalimu wangu Mr. Muhandeni mtaalamu wa mambo ya Taxation na Auditing Alisema ‘‘‘ hata kama una Masters kusoma English course siyo dhambi na ukijua vingi unakua huru’’’ Kila la heri mkuu!


Ila naskia wako vizuri sana Kama Mke wa Rais wa awamu ya nne walimfundisha akajua nahisi haitakua vigumu kwako.

Asante mkuu na nina Msc kweli sasa nimepata kazi as ass.lecturer sitaki kujitia aibu nikajibrush kidogo..
 
Back
Top Bottom