Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Unai Emery appointed as a new Arsenal manager replacing Arsene Wenger
BBC Sport
Klabu ya Soka ya Arsenal, imemtangaza Unai Emery kuwa kuwa Mwalimu mpya wa timu hiyo
> Hapo awali uongozi wa Klabu ya Arsenal ulikuwa ukimpigia chapuo kocha msaidizi wa Manchester City, Mikel Arteta ambaye pia aliwahi kuwa mchezaji wa washika bunduki hao wa Jiji la London
> Unai Emery mwenye umri wa miaka 46 amechaguliwa kukinoa kikosi hicho baada ya kuondoka kunako Klabu ya Paris St-Germain
> Akiwa PSG alifanikiwa kunyakua ubingwa wa Ufaransa mara 1 na vikombe vinne vya ndani ya nchi hiyo katika kipindi cha miaka miwili
======
Arsenal are set to appoint Unai Emery as their new manager.
Manchester City assistant Mikel Arteta was strong favourite to succeed the outgoing Arsene Wenger.
But following a thorough recruitment process that involved all candidates being spoken to, Emery emerged as the unanimous choice.
The 46-year-old Spaniard is available after leaving Paris St-Germain where he won one Ligue 1 title and four domestic cups in two seasons in charge.
Previously he guided Sevilla to three consecutive Europa League triumphs between 2014 and 2016.
He announced last month he would leave PSG when his contract expired at the end of the season and was replaced by former Borussia Dortmund boss Thomas Tuchel, who had also been linked with the Arsenal job.
Emery's English is not completely fluent but the language barrier is not expected to be a problem.
An announcement and news conference are expected later this week.
The recruitment process was led by Arsenal chief executive Ivan Gazidis, head of football relations Raul Sanllehi and head of recruitment Sven Mislintat
BBC Sport
Klabu ya Soka ya Arsenal, imemtangaza Unai Emery kuwa kuwa Mwalimu mpya wa timu hiyo
> Hapo awali uongozi wa Klabu ya Arsenal ulikuwa ukimpigia chapuo kocha msaidizi wa Manchester City, Mikel Arteta ambaye pia aliwahi kuwa mchezaji wa washika bunduki hao wa Jiji la London
> Unai Emery mwenye umri wa miaka 46 amechaguliwa kukinoa kikosi hicho baada ya kuondoka kunako Klabu ya Paris St-Germain
> Akiwa PSG alifanikiwa kunyakua ubingwa wa Ufaransa mara 1 na vikombe vinne vya ndani ya nchi hiyo katika kipindi cha miaka miwili
======
Arsenal are set to appoint Unai Emery as their new manager.
Manchester City assistant Mikel Arteta was strong favourite to succeed the outgoing Arsene Wenger.
But following a thorough recruitment process that involved all candidates being spoken to, Emery emerged as the unanimous choice.
The 46-year-old Spaniard is available after leaving Paris St-Germain where he won one Ligue 1 title and four domestic cups in two seasons in charge.
Previously he guided Sevilla to three consecutive Europa League triumphs between 2014 and 2016.
He announced last month he would leave PSG when his contract expired at the end of the season and was replaced by former Borussia Dortmund boss Thomas Tuchel, who had also been linked with the Arsenal job.
Emery's English is not completely fluent but the language barrier is not expected to be a problem.
An announcement and news conference are expected later this week.
The recruitment process was led by Arsenal chief executive Ivan Gazidis, head of football relations Raul Sanllehi and head of recruitment Sven Mislintat