Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
|Unai Emmery....
Ni swala la muda tu sasa bodi itamtangaza Unai Emery kama kocha mpya wa Arsenal..
1.Unai amcechukua vikombe 3 vya Europa League mfululizo..huku akiipiga Liverpool ya Jurgen Klopp kwenye fainali,2016.
2.Ni kocha ambaye anahitaji wachezaji wajitoe sana kwa timu..hana utani kwenye hilo-Tukumbuke haikuwa rahisi kuchukua vikombe akiwa na Sevilla timu ambayo ilikuwa na bajeti ndogo mno.
3.Yeye anasemwa kuwa ni kocha zaidi na sii meneja zaidi.Nadhani hiki ndicho kilichoivutia bodi ya Arsenal kumchukua yeye kwa sababu akiwa Sevilla alishafanya kazi kwenye nfumo kama wa Arsenal ambapo sasa-mkuu wa usajili wa wachezaji ni Sven Mislitant-while kule Sevilla alikuwa chini ya Monchi-na alifanikiwa!
4.Msimu wake wa kwanza PSG alishindwa kutwaa ubingwa-baada ya Monaco kuchukua.Baadhi ya wakosoaji wake wanadai huo ni udhaifu.Ila wanasahau kwamba timu ile ya Monaco iliitoa hata Man city ya Guardiola ktk hatua za mtoano UEFA champions League.
5.Anaongea kingereza kidogo tu-lakini alipokuwa Ufaransa ilimchukua muda mfupi sana kuongea kifaransa-hili linaonyesha kwamba ni mtu wa kujifunza lugha ngeni kwa haraka.
6.Ni rafiki mkubwa wa Pep...ni kati ya makocha wachache wanaoalikwa na Pep kwa glass ya mvinyo baada ya mechi...
Ni swala la muda tu sasa bodi itamtangaza Unai Emery kama kocha mpya wa Arsenal..
1.Unai amcechukua vikombe 3 vya Europa League mfululizo..huku akiipiga Liverpool ya Jurgen Klopp kwenye fainali,2016.
2.Ni kocha ambaye anahitaji wachezaji wajitoe sana kwa timu..hana utani kwenye hilo-Tukumbuke haikuwa rahisi kuchukua vikombe akiwa na Sevilla timu ambayo ilikuwa na bajeti ndogo mno.
3.Yeye anasemwa kuwa ni kocha zaidi na sii meneja zaidi.Nadhani hiki ndicho kilichoivutia bodi ya Arsenal kumchukua yeye kwa sababu akiwa Sevilla alishafanya kazi kwenye nfumo kama wa Arsenal ambapo sasa-mkuu wa usajili wa wachezaji ni Sven Mislitant-while kule Sevilla alikuwa chini ya Monchi-na alifanikiwa!
4.Msimu wake wa kwanza PSG alishindwa kutwaa ubingwa-baada ya Monaco kuchukua.Baadhi ya wakosoaji wake wanadai huo ni udhaifu.Ila wanasahau kwamba timu ile ya Monaco iliitoa hata Man city ya Guardiola ktk hatua za mtoano UEFA champions League.
5.Anaongea kingereza kidogo tu-lakini alipokuwa Ufaransa ilimchukua muda mfupi sana kuongea kifaransa-hili linaonyesha kwamba ni mtu wa kujifunza lugha ngeni kwa haraka.
6.Ni rafiki mkubwa wa Pep...ni kati ya makocha wachache wanaoalikwa na Pep kwa glass ya mvinyo baada ya mechi...