The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,077
Arsenal watamkumbuka sana Wenger.
Duu makocha na wachezaji ndivyo maisha yao hayo,Mo salah alionekana hafai Chelsea akatolewa kwa mkopo Italy baadae akauzwa jumla klop akamuona anafaa washabiki wa Liver walimshangaa yeye akawaambia kwa mfumo anaotaka kuutumia atawasaidia leo hii ndio nyota hata hivyo PSG ipo vizuri tatizo ipo kwenye ligi isiyo na ushindani ndio maana UEFA wanapata tabu.PSG wamemuona hafai arsenal wanambeba...Hopeless Arsenal
Duu makocha na wachezaji ndivyo maisha yao hayo,Mo salah alionekana hafai Chelsea akatolewa kwa mkopo Italy baadae akauzwa jumla klop akamuona anafaa washabiki wa Liver walimshangaa yeye akawaambia kwa mfumo anaotaka kuutumia atawasaidia leo hii ndio nyota hata hivyo PSG ipo vizuri tatizo ipo kwenye ligi isiyo na ushindani ndio maana UEFA wanapata tabu.PSG wamemuona hafai arsenal wanambeba...Hopeless Arsenal
Tatizo mna majina yenu mfukonHuyu ni moja kati ya makocha wa ovyo kabisa yaani pale Psg alipata kila alichotaka lakin timu ilikuwa inacheza ovyo sana hata kwenye Uefa hamna cha maana alichokifanya. Sasa hapa kwetu Arsenal si ataharibu timu kabisaaa yaani maamuzi ya ovyo sanaaa duuuh.
England shida ni media zao.....England sio Ufaransa
Ajiandae kisaikolojia
Nenda tu sisi tutabaki na Unai.......Naondoka na wenger,kidogo Arteta ningemuelewa.
Atafanya makubwa sana pale EmiratesPSG wamemuona hafai arsenal wanambeba...Hopeless Arsenal
Mourinho alionekana hafai chelsea ila madrid walimuona anafaa pia chelsea walimuona kinyesi ila manure wakamuona almasi,guadiola katimuliwa bayern ila city wakamuokota taja kocha gani asiyetimuliwa? Hayo ndio maisha ya soka......chelsea wanataka kumtimua conte ila kuna utitiri wa timu unasubiri wamdake........PSG wamemuona hafai arsenal wanambeba...Hopeless Arsenal
Atleast wameenda kwa mtu aliyejaribiwa tayari. Kumpa Arteta, Henry au Viera ingelikuwa kamari mbaya sana na ingeback fire tu. Sio kila mtu ni Zidane au Pep.