udsm wanatoa Bachelor of Science in engineering, wakati DIT ni bachelor of engineering. udsm ni designers, dit ni watendaji technicians. huwezi kuwalinganisha maana kazi zao ni tofauti.
udsm wanatoa Bachelor of
Science in engineering, wakati DIT ni bachelor of engineering. udsm ni
designers, dit ni watendaji technicians. huwezi kuwalinganisha maana
kazi zao ni tofauti.
udsm wanatoa Bachelor of Science in engineering, wakati DIT ni bachelor of engineering. udsm ni designers, dit ni watendaji technicians. huwezi kuwalinganisha maana kazi zao ni tofauti.
udsm wanatoa Bachelor of Science in engineering, wakati DIT ni bachelor of engineering. udsm ni designers, dit ni watendaji technicians. huwezi kuwalinganisha maana kazi zao ni tofauti.
kitendoo tu cha kuwa engineer kinanitofautisha na technician kwa sabab engineer ni knowledge based na technician ni competence based so may be tofauti ipo kwenye malengo ya kozi husika inatoa wahitimu wa aina gan
Ninalolijua mimi ni kwamba wote wanakuwa train kwa mtaala mmoja up to a certain level..na wengine wanaenda mbele zaidi ndo wanapewa degree!thats why product hizi mbili hazitofautiani sana.
kwa mawazo hayo mtatafuta sana kazi hadi sorry za viatu vyenu viishe.....!nilihiji mtajadili usomi wa mtu kumbe mmekaa kujadili vyuo.....!nimepita mi nizao la UCLAS....!sasa sijui nitakosa nini mi naona swala ni.
Acheni mambo nyie! UDSM wako vizuri kwenye madaftari lakini kiutendaji ni---niii mlenda! DIT wako vizuri sana kwenye utendaji than UDSM! UDSM ukiwaambia 4X4 wanajua ni 16 lakini ukiwaambia jinsi 16 ilivyopatikana patachimbika ilan DIT watakuambia ni 16 na jinsi hiyo 16 ilivyopatikana! nimefanya field na watu wa degree wa UDSM kipindi mm nikiwa Diploma DIT at the same field lakini UDSM ikaonekana kama walikuwa mzigo sana! UDSM ni jina tu limewazidi ukubwa lakini wengi wao ni akina ACHIBA!!!!!!!!!!!!!!!