mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Habari za saizi aise,
Naombeni kwa anajua vizuri CV ya huyu engineer atuambie
1. kazaliwa wapi na lini?
2. Anaasali ya Somalia /Eritrea au Ethiopia?
3.Yeye na mmiliki wa GSM (ghalibu said) wanaundugu?
4. Anacheo gani yanga?
5. Anachokifanya yanga ni moja ya jukumu lake au kiherehere chakee tu?
6. Je, ni muajiriwa GSM au ni moja ya wamiliki?
Naombeni kwa anajua vizuri CV ya huyu engineer atuambie
1. kazaliwa wapi na lini?
2. Anaasali ya Somalia /Eritrea au Ethiopia?
3.Yeye na mmiliki wa GSM (ghalibu said) wanaundugu?
4. Anacheo gani yanga?
5. Anachokifanya yanga ni moja ya jukumu lake au kiherehere chakee tu?
6. Je, ni muajiriwa GSM au ni moja ya wamiliki?