Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Hili ni daraja kama lile la mkapa au rufiki kwa mfano mzuri ni kama lile la pale mtoni kijichi
inawezekana umekulua kijijini na hujui hata maana ya foleni, mtu yyte aliyewahi kukaa foleni kwa masaa matatu hako kasehemu hawezi kuelewa unachotaka nini, kupoteza muda hayo masaa ambpo mtu angeenda kazini kuzalisha na kukuza kipayo chake lkn muda wa kazi anaupotezea kwenye foleni huoni hilo?White Elephants Projects, built with fishy Loans from China..
Hayo Madaraja na Reli yatakuza uchumi? After how many years na Riba za Mikopo?
Kuna uzalishaji wa kutosha kulipa hayo Madeni Au wamejenga miradi ya kuombea kura?
Pesa za wanyonge zinajengea fly over, Sasa nani atafurahia?
Mafao ya wafanyakazi wanyonge zinatumika kwa masilahi ya ki siasa na tumbo za wachache....
Ndio Maana wakaondoa FAO La kujitoa, ili Watanzania waendelee kuwa wanyonge na watumwa
Kama ni Daraja basi hapo kuna mto bakhresa.Hivi ni flyover au daraja?
hajaenziwa mkuu?Shaban Robert katumika kama mfano tu mkuu. Ujumbe ni kuwaenzi watu ambao hawapaswi kusahaulika. Sisi tunakufa na wanakuja wengine, hao wanaokuja hawapaswi kutoifahamu historia ya majina muhimu kwa taifa lao.
Nmepabikiri wa kwanza na mie Leo. Tatizo foleni imehamia mataa ya chang'ombeView attachment 866608
Wakuu, kitu kimepikwa kikapikika!
Juhudi za Mh Magufuli zilizozaa matunda.
Daraja hizi mbili nasikia zinaitwa Eng Patrick Mgugale Flyover.
hivi waziri wa ujenzi huwa ndio anatafuta wafadhili kwa ajili ya kujenga barabaraEng Patrick Mfugale kwa kuongozwa na Mh Magufuli wakiwa Wizara ya Ujenzi walipigana sana kupata ufadhili wa mradi huu.
Hizo ndio habari toka Tanroads.
Nenda Mahakamani ukaweke zuiyo... Utadhani hujui taratibu na sheria za hii nchi..Nafurahishwa na huo ujenzi wa flyover lakini sifurahishwi na jinsi majina ya madaraja na mabarabara yanavyopatikana.
Kwanini isiitwe Shaban Robert Flyover kwa nia ya kumuenzi mshairi mkongwe wa Tanzania?.
Kuna wazee walipigania uhuru wa nchi, kwanini madaraja na barabara zisipewe majina yao kwa nia ya kuwaenzi na kuweka hai kumbukumbu za Taifa?.
Mfugale ni msomi na anashiriki katika kuimarisha ujenzi, hilo hakuna anayelipinga, lakini wapo watu ambao hawastahili kupotea akilini mwa watu, haswa akilini mwa vijana wa kizazi cha sasa.
Mkuu huyo ni mwanaume wa kanda maalum vijijini.inawezekana umekulua kijijini na hujui hata maana ya foleni, mtu yyte aliyewahi kukaa foleni kwa masaa matatu hako kasehemu hawezi kuelewa unachotaka nini, kupoteza muda hayo masaa ambpo mtu angeenda kazini kuzalisha na kukuza kipayo chake lkn muda wa kazi anaupotezea kwenye foleni huoni hilo?
Maoni yangu hayahitaji zuio la mahakama. Kama yalivyo maoni ya mtu mwingine yoyote.Nenda Mahakamani ukaweke zuiyo... Utadhani hujui taratibu na sheria za hii nchi..
Jina la Eng Patrick Mfugale lina maana sana.Hilo jina tu halina maana yoyote, ingekua kapewa umiliki hapo tungelalamika, nimi binafsi sijali hata lingeitwa madenge au pimbi flyover kwangu sawa, ilimradi tunapita Kama kawa
Chadema kile kibanda chenu mnachoita makao makuu ni hela binafsi ya Mbowe au ya Chadema? Kama ya Chadema hivi mabilioni yote ya ruzuku ndio mwaweza miliki Lile Banda kama ndio makao makuu?Huyo Eng. Mfugale ndio ametoa pesa za kujenga hiyo Flyover?
What about Underpass,Overpass?And what will be a Bypass??
Umeongea kweli tupu mkuu. Tumpe Credit.Jina la Eng Patrick Mfugale lina maana sana.
Daraja hili lingeweza kuitwa kwa jina la wanasasa wengi tu kama ilivyo kawaida yetu waTanzania.
Katika kipindi chake hakuna madudu ndani ya TANROADS ambayo hata tetetesi tumezisikia.
Barabara zimejengwa kwa mamia ya kilometa nchini kote.
Mfugale ni mtu makini sana.
Na vile vile ni hehima kwa Wahandisi wote Tanzania kuwa mwenzetu wa niaba ya wahandisi, ameweza kutambulika kwa mchango wake kwa Taifa.
Hilo usilisahau.
Mkuu ile ni fly over sio daraja
Yeye ndiye aliyedisign hiyo flyover. Tuache kuwa cynics kwa kila kitu hebu tujifunze kisifia japo kidgo.Huyo Eng. Mfugale ndio ametoa pesa za kujenga hiyo Flyover?