Eng Hersi Said, kufumba na kufumbua, nahitaji huyo coach tapeli Roman Folz aondoke

Eng Hersi Said, kufumba na kufumbua, nahitaji huyo coach tapeli Roman Folz aondoke

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Yanga sio sehemu ya wanafunzi kufanya field

Folz sio coach Bali ni tapeli tu

Binafsi simhukumu Kwa matokeo ya Leo huko Mbeya, Mimi kama mwanamichezo naelewa hayo ni matokeo ya kawaida katika ligi

Huyu coach ni tapeli ana bahatisha

Kwa foundation course yangu ya coaching hizi ndo mbinu maarufu,

1 counter attacks
Timu ijilinde halafu ishambulie Kwa kushitukiza, Coach hata hii mbinu ya Ibenge haijui, timu inafikika na haiwezi kushambulia Kwa kushitukiza

2 High pressing
Hii mbinu ya clop, yaani ishambulie juu na ulazimishe mabeki na Viungo wafanye makosa upate ushindi.
Coach tapeli Folz hawezi hili

3 tik tak and total football
Kupiga pasi fupi na wachezaji kubadilishana nafasi Kwa haraka na hivo kumfanya mpizani achoke na aachie mianya ya kufunga.
Sasa huyo Boyeli amesimama kama sanamu la posta, mabeki wanaosha tu.
Tuta battle vipi na timu kama Pyramid, Orlando, RS Berkane n.k

4 wing play
Yanga Kuna mawinga wengi, Coach alipaswa kutanua uwanja Kwa kuwapa nafasi akina Chikola, Farid na Max yeye akamwingiza tapeli Kouma kiungo konokono kuharibu mechi

5 Overlapping Fullbacks
Hata hii mbinu inamshinda kuweka Viungo na kuruhusu fullbacks kupanda kuongeza nguvu
Boka na Mwenda ni kama wazurulaji uwanjani, yaani Coach hawapi hukumu lolote

6 low block, middle block, high block
Yanga haina hata hii mistari 3 uwanjani hai link kabisa
Yaani hakuna kiungo mbunifu wa kupiga pasi za kuvunja line hata 1 ya mpizani

7 .Zonal marking and playing
Wachezaji kuwa kwenye maeneo yao.
Hii mbinu ya kizamani lakini coach tapeli Roman Folz haiwezi kuitumia

8 Diamond midfield
Una Andabwile na Abuya mechi yenyewe ya Mbeya City utashindaje mechi Kwa hofu hii
Halafu juu una max ambaye anakaba zaidi ya ku link timu na akina na Pacome, Doumbia na Boyeli juu.
Hivi huyu Coach tapeli atashinda mechi Gani?
Ataweza mbinu Kali za Coach Ibenge, Ahmad Ali wa JKT, Gamondi wa SBS au Nabi anayekuja Simba
 
Thierry Henry alikua mchambuzi na mkosoaji kwenye TV wakampa FC Monaco unakumbuka nini kilitiokea?
We jamaa usijifanye unaipenda Yanga kuliko wengine
Penye madhaifu laZima tukosoe
Sasa nakuhakikishia ninavyomjua Eng Hersi Said ambaye ni genius katika football, laZima amfukuze kabla ya mechi ijayo, hapo laZima utaanza kuniheshimu
 
We jamaa usijifanye unaipenda Yanga kuliko wengine
Penye madhaifu laZima tukosoe
Sasa nakuhakikishia ninavyomjua Eng Hersi Said ambaye ni genius katika football, laZima amfukuze kabla ya mechi ijayo, hapo laZima utaanza kuniheshimu
Siongelei mapenzi naongea fact, Yanga sasa hivi ipo kwenye transition itachukua muda mrefu ku adopt mfumo mpya unless kama mnataka kocha asi implement kitu kipya mkitaka muendelee kucheza kwa mazoea yatatukuta yaliwakuta Man city na Real Madrid last season
 
Mimi ni shabiki lia lia wa Yanga. Ila siungi mkono hoja. Kocha bado ni mgeni. Apewe muda. Uongozi utafukuza makocha wangapi? Kocha amesimamia mechi 6! Ameshinda 5, ametoa sare 1.

Sioni kama kuna sababu ya kumhukumu kwa sasa kiasi cha kufikia hatua ya kumuita majina ya ajabu ajabu. Eti sijui tapeli! Muda ukifika kama ataonekana kweli hafai, nitakuunga mkono. Ila kwa sasa, HAPANA. Ni mapema sana kumhukumu.
 
Siongelei mapenzi naongea fact, Yanga sasa hivi ipo kwenye transition itachukua muda mrefu ku adopt mfumo mpya unless kama mnataka kocha asi implement kitu kipya mkitaka muendelee kucheza kwa mazoea yatatukuta yaliwakuta Man city na Real Madrid last season
Nimekwambia huyu coach ni tapeli hana mfumo atautambisha
Yaani Coach amefika Toka July amefanya pre season na timu, timu ina quality players, Bado Yanga inacheza kama timu ya shule
 
Back
Top Bottom