figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Hongereni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya ya Kakonko kwa kumaliza salama Mkutano mkuu wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi ya kumpata mgombea atakaye peperusha bendera ya CCM Kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyungu.
Matokeo yapo hivi;
1.Eng. Christopher Chiza kura 145
2.Aloyse Kamamba kura 46
3.Emmanuel Gwegenyeza kura 41
Aliyeshinda ni Chiza kwa kura 145. Sasa kupambana na Wagombea wa vyama vingine.
=====
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Kakonko wamemaliza Mkutano wa kura za maoni kumpata mgombea atakayepeperusha bendera ya chama Kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyungu
Eng. Chiza amepitishwa kuwa mgombea kupitia CCM
Matokeo yapo hivi;
1.Eng. Christopher Chiza kura 145
2.Aloyse Kamamba kura 46
3.Emmanuel Gwegenyeza kura 41
Aliyeshinda ni Chiza kwa kura 145. Sasa kupambana na Wagombea wa vyama vingine.
=====
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Kakonko wamemaliza Mkutano wa kura za maoni kumpata mgombea atakayepeperusha bendera ya chama Kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyungu
Eng. Chiza amepitishwa kuwa mgombea kupitia CCM