eneo la chipsi linahitajika

eneo la chipsi linahitajika

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,297
Reaction score
1,862
wakuu nahitaji eneo la kufanyia biashara ya chipsi hapa dar,bajeti yangu ni laki 3 kwa kulipia iwe miez sita ama la ila ninayo laki 3 ya kodi.. napatikana survey near mlimani cty..Nikipata eneo karbu na mitaa hii itakua vizuri zaid..Niko serious nahitaj hata kesho asubuhi
 
Back
Top Bottom