Endelea kucheka

Hahahahah kweli umenihamisha kidogo toka huko katika stress za siasa
 
Zinasumbua kuupload wife, VP Zenji huko? Am so worried? Mko salama? Usikose kutujuza pls.....tuwawaombea dua njema

Ndo naona ati.

Agh, huku duaa zenu kwa wingi jamani. Mji umetanda kimya kikubwa. Tuliambiwa matokeo watatoa leo saa 4. Sasa tumeskia tena kuwa matokeo watatoa saa 10
 
Ndo naona ati.

Agh, huku duaa zenu kwa wingi jamani. Mji umetanda kimya kikubwa. Tuliambiwa matokeo watatoa leo saa 4. Sasa tumeskia tena kuwa matokeo watatoa saa 10

Tuombeane tu maana huku nako sintofahamu itaanza muda si mrefu.... Lakini inshallah Mungu atawaepusha na mabalaa yote
 
hapa kidogo nimepungaza stress za matokeo ya lubuva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…