Endapo vijana wa Kitanzania tungekuwa na 'Upendo' na 'Uaminifu' tungefanikiwa

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
948
1,092
Habari vijana Tanzania.

Laiti vijana wa Tanzania tungekuwa na upendo na uaminifu mkubwa tungesaidiana kwa mengi sana mfano mitaji, kazi za kujishkiza na biashara kwa ujumla.

Kuna mikoa hapa Tanzania ina fursa nyingi sana na masoko yapo ya kutosha tatizo ni uaminifu kwa vijana waliowengi.

Fursa zipo mikoani lakini ni nani utamwamini na nani atakuwa na upendo wa hiyo fursa mfanye wote kwa kusaidiana. Mfano upo Dar es Salaam viatu, T-shirt za V, madela na viatu bei poa na unajua fika vinasoko Mwanza au Arusha. Pangekuwa na watu au vijana wa aminifu unamtumia mzigo anakuuzia then anajilipa mwenyewe commission maisha yanaenda.

Mfano2, Dodoma kuna soko kubwa la viazi vitamu na mtu yupo Ushirombo au Geita au Katavi kama pangekuwa na watu waaminifu unapakia mzigo watu wanaupokea then wanafanya maisha.

Ipo mifano mingi sana.

Jaribuni kusoma na kufatilia historia ya kampuni ya DHL Logistics Company walitengeneza uaminifu wakafanikiwa sana.

NB
MTAJI WA BIASHARA VIJANA NI UAMINIFU WAKO AMUA LEO UPATE MAISHA BORA NA MAZURI. WATU WEMA BADO WAPO HAWAJAISHA HAPA DUNIANI.
 
Tatizo la vijana wa .com mmeharibiwa na utandawazi, ulevi, tamaa ya mafanikio kwa haraka, mnapenda shortcuts, hamshauriki, hamna hofu ya Mungu, hamjitumi, mnapenda kulelewa na mmekosa nidhamu kwa watu na fedha.
 
Kweli bro,tamaa ni tatizo kubwa sio vijana tu hata watu wazima hawajitambui, siku hizi ukipata mwaminifu basi ni katika % 1 ya wa Tanzania wote. tena ukimpata ujue umepata hazina, watu wengi hawataki kuwa kwenye hilo kundi la hazina, kikubwa ukiwa kwenye kundi hili la hazina, definitely hukosi kazi wala huwezi kuwa maskini.
 
Habari vijana Tanzania.

Laiti vijana wa Tanzania tungekuwa na upendo na uaminifu mkubwa tungesaidiana kwa mengi sana mfano mitaji, kazi za kujishkiza na biashara kwa ujumla.

Kuna mikoa hapa Tanzania ina fursa nyingi sana na masoko yapo ya kutosha tatizo ni uaminifu kwa vijana waliowengi.

Fursa zipo mikoani lakini ni nani utamwamini na nani atakuwa na upendo wa hiyo fursa mfanye wote kwa kusaidiana. Mfano upo Dar es Salaam viatu, T-shirt za V, madela na viatu bei poa na unajua fika vinasoko Mwanza au Arusha. Pangekuwa na watu au vijana wa aminifu unamtumia mzigo anakuuzia then anajilipa mwenyewe commission maisha yanaenda.

Mfano2, Dodoma kuna soko kubwa la viazi vitamu na mtu yupo Ushirombo au Geita au Katavi kama pangekuwa na watu waaminifu unapakia mzigo watu wanaupokea then wanafanya maisha.

Ipo mifano mingi sana.

Jaribuni kusoma na kufatilia historia ya kampuni ya DHL Logistics Company walitengeneza uaminifu wakafanikiwa sana.

NB
MTAJI WA BIASHARA VIJANA NI UAMINIFU WAKO AMUA LEO UPATE MAISHA BORA NA MAZURI. WATU WEMA BADO WAPO HAWAJAISHA HAPA DUNIANI.

Sinasema Tanzania hakuna mzunguko wa pesa hakuna biashara yeyote inayofanyika!?
Alisikika mvuta bangi mmoja akisema”


Sent using IPhone X
 
Kama jf wangepatika watu waaminifu pia ata humu kuna biashara lkn tatizo ndo hill ulilosema
Habari vijana Tanzania.

Laiti vijana wa Tanzania tungekuwa na upendo na uaminifu mkubwa tungesaidiana kwa mengi sana mfano mitaji, kazi za kujishkiza na biashara kwa ujumla.

Kuna mikoa hapa Tanzania ina fursa nyingi sana na masoko yapo ya kutosha tatizo ni uaminifu kwa vijana waliowengi.

Fursa zipo mikoani lakini ni nani utamwamini na nani atakuwa na upendo wa hiyo fursa mfanye wote kwa kusaidiana. Mfano upo Dar es Salaam viatu, T-shirt za V, madela na viatu bei poa na unajua fika vinasoko Mwanza au Arusha. Pangekuwa na watu au vijana wa aminifu unamtumia mzigo anakuuzia then anajilipa mwenyewe commission maisha yanaenda.

Mfano2, Dodoma kuna soko kubwa la viazi vitamu na mtu yupo Ushirombo au Geita au Katavi kama pangekuwa na watu waaminifu unapakia mzigo watu wanaupokea then wanafanya maisha.

Ipo mifano mingi sana.

Jaribuni kusoma na kufatilia historia ya kampuni ya DHL Logistics Company walitengeneza uaminifu wakafanikiwa sana.

NB
MTAJI WA BIASHARA VIJANA NI UAMINIFU WAKO AMUA LEO UPATE MAISHA BORA NA MAZURI. WATU WEMA BADO WAPO HAWAJAISHA HAPA DUNIANI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi moja mzuri sana. Uaminifu kimekuwa kitu kigumu sana. Vijana wanashindwa Kuangalia mbali mtu anaona bora ale Kali 2 au milioni kwa mda bila kuangalia ni manufaa gani angepata.

Juzi tu nimetoka kumwamini kijana moja nikamkabidhi kazi ya shamba nikampa pikipiki. Nilipo muaga kuwa nasafiri kazi zikasimama hata kabla sijaondoka. Nilikuwa nimemuacha kama laki 9; alichofanya ni kupiga bia huku trekta zimesimama shambani.

God save us
 
Uzi moja mzuri sana. Uaminifu kimekuwa kitu kigumu sana. Vijana wanashindwa Kuangalia mbali mtu anaona bora ale Kali 2 au milioni kwa mda bila kuangalia ni manufaa gani angepata.

Juzi tu nimetoka kumwamini kijana moja nikamkabidhi kazi ya shamba nikampa pikipiki. Nilipo muaga kuwa nasafiri kazi zikasimama hata kabla sijaondoka. Nilikuwa nimemuacha kama laki 9; alichofanya ni kupiga bia huku trekta zimesimama shambani.

God save us
Pole sana

Sijawahi kuona mtu mlevi akawa mwaminifu kwa umri wangu huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom