bm21
Kauli yangu ya kwamba JK ni kijana ndio propaganda iliyotumika mwaka 2005, wazee wapishe vijana waje. Alikuwa kijana kabisa! Leo kama tumezinduka tunasema sio kijana hayo ni maswala mengine. Kwangu naona ni mtu wa makamo ya kati, umri mzuri kabisa wa kuwa raisi kwa mtu yeyote.
Maandamano ya kupinga uamumizi, yatakuwa magumu kama wewe sio mwanachama wa ccm. Kwani mgombe uraisi anachaguliwa na chama chake. Labda nguvu uliyonayo ni katika kupiga kura! Je huwa unapiga kura!
Kauli yangu ya kwamba JK ni kijana ndio propaganda iliyotumika mwaka 2005, wazee wapishe vijana waje. Alikuwa kijana kabisa! Leo kama tumezinduka tunasema sio kijana hayo ni maswala mengine. Kwangu naona ni mtu wa makamo ya kati, umri mzuri kabisa wa kuwa raisi kwa mtu yeyote.
Maandamano ya kupinga uamumizi, yatakuwa magumu kama wewe sio mwanachama wa ccm. Kwani mgombe uraisi anachaguliwa na chama chake. Labda nguvu uliyonayo ni katika kupiga kura! Je huwa unapiga kura!