nilishafanya interview na empower june 2014,, then nikapelekwa kwa client wao kampuni ya plumbering plasco, nafasi ilikuwa warehouse manager..sikuchajiwa hata senti tano, na nilipata msaada mkubwa sana kutoka kwa mdada wa empower anaitwa priscilla, sema tu tulishindana mshahara s budget ya position aliyokuwa nayo client ni ndogo kuliko niliyoiomba..na hata wakati wa interview nilipewa fuel allowance kwa usumbufu wa nenda rudi as interview zilikuwa siku kama tano hivi tofauti..Japokuwa tulishindwana kuhusu terms of contract but niliwaheshimu sana empower kwa proffessionalism walioionesha na hata client wao plasco tanzania limited, nao walionesha proffessionalism ya hali ya juuu..hakukuwa na rushwa wala longo longo yoyote