Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Habari wa ndugu.
Naomba mnisaidie kuhusu hizi Kampuni kama zipo na msaada wake kwa
jamii/ wanaotafuta Ajira au waajiri.
Je zinaendeshwaje na kuhakikisha watu hawatapeliwi? Mwenye
ushuhuda wa kupata ajira kupitia Kampuni hizi, anisaidie kujua
alifanyaje.
Ahsante sana.
Naomba mnisaidie kuhusu hizi Kampuni kama zipo na msaada wake kwa
jamii/ wanaotafuta Ajira au waajiri.
Je zinaendeshwaje na kuhakikisha watu hawatapeliwi? Mwenye
ushuhuda wa kupata ajira kupitia Kampuni hizi, anisaidie kujua
alifanyaje.
Ahsante sana.