Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 689
- Thread starter
- #21
Wadau kwa michango yenu nawashukuru sana. nimejaribu kuchek google sikupata hiyo company. hata website hawana.
nimeamua kuachana nao. naishukuru sana JF maana imeniokoa kabla sijaingizwa chaka nikaenda kuuzwa huku familia yangu ikibaki inahangaika wasijue pa kunipata
nimeamua kuachana nao. naishukuru sana JF maana imeniokoa kabla sijaingizwa chaka nikaenda kuuzwa huku familia yangu ikibaki inahangaika wasijue pa kunipata