kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Pamoja na kuwa mchezaji wao mwenye mkataba, simba imelazimika kumpa emmanuel okwi kiasi cha milioni 50 na gari juu, lengo ni kuhakikisha anaitumikia club hii,
Si Maarage alisema kuwa thamani yake nje ya Yanga ni billioni 3????
mimi sielewi sasa hapa!Pamoja na kuwa mchezaji wao mwenye mkataba, simba imelazimika kumpa emmanuel okwi kiasi cha milioni 50 na gari juu, lengo ni kuhakikisha anaitumikia club hii,
Si Maarage alisema kuwa thamani yake nje ya Yanga ni billioni 3????
mimi sielewi sasa hapa!
Si nilimuona Mwenyekiti wa Simba na Mbunge wa Tabora Mjini akisema wamemuuza Austria kwa Euro 700,000, na akasema kuwa watatumia hizo pesa kuendeleza uwanja wao mpya huko Bunju!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????????
Je alikuwa anadanganya au hakujua alichokuwa akikiongea mzee wa Bastora!? Sasa kama hata wabunge na wenyeviti wanaishi kwa kusema uongo na uzushi sisi wanachama wa kawaida itakuwaje? Nchi hii bwana..
Si-amini kama huu ndo mchango wako uliokuwa nao juu ya threas hii, funguka tena.Taifa la blah blah blah blah blah blah
Si'saini Simba naondoka zangu.
Ni maoni ya Mshambuliaji Emanuel Okwi wa Simba ambaye alikuwa akijibu swali la Mwandishi wa Global Publishers.
Okwi aliendelea kueleza kuwa ingawa bado ana mkataba na Simba lkn bado haja'sign kukipiga na team hiyo msimu unaokuja ksbb bado ana mpango wa kwenda kujaribu bahati yake ya kukipiga Ulaya.
Source: Gazeti la Champion la leo.