Emirates Airlines: Kiboko ya Mabishoo!

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Mar 31, 2016
6,229
7,443
UAE pekee wanapokea watalii zaidi ya 30m kwa mwaka na hawanaga jambo dogo. Utalii kwao umechagizwa na Emirates airlines. Fikiria safari ya Dakika 45 (Dubai to Manama/Bahrain) wanarusha mzinga wa pipa wa abiria yapata 400. Itachukua miaka 500 na filamu kadhaa kuwafikia.

EK.jpg

EK2.jpg
 
Back
Top Bottom