noel kaminyoge
Member
- May 22, 2015
- 24
- 15
Nimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo?
yaani we jamaa una akli za kitoto ukiona mdada anakuita mchumba au huyu mme wangu na wewe unaona kweli unapendwa na huku una miaka mi 5 na yeye ana miaka 28 sasa ndo weweNimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo?
Amekuona wewe mroho sanaNimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo?
Kakuona Una njaa SANA.... Hivyo kakujazia ili ushibe vizuriNimejaziwa chakula kingi kuliko wote na mama ntile hii inaleta tafasiri gan wananzengo?