Mafuta Gani? Lainishi?!nimekumbuka bei ya mafuta
Daah mwanangu wapi pameongelewa uchadema ama uccm mzee wangu umeambiwa tafakari sasa hii vita ni ya nini dhidi yangu toa tafakari yako kisha kausha mzee wanguWatanzania wengi wajinga Kuna shida gani hapo? Kama wanampenda rais wao Kuna tatizo gani sio kila mtu ni chadema raisi aliyopo madarakani ndo hyo kwani ni kampeni ..Mtoa mda akili yako kupenda siasa tu.
Watanzania wengi wajinga Kuna shida gani hapo? Kama wanampenda rais wao Kuna tatizo gani sio kila mtu ni chadema raisi aliyopo madarakani ndo hyo kwani ni kampeni ..Mtoa mda akili yako kupenda siasa tu.
Mleta mada inaonekana kuna jambo umelilenga kuliwasilisha hapa kuhusu hizo picha,Daah mwanangu wapi pameongelewa uchadema ama uccm mzee wangu umeambiwa tafakari sasa hii vita ni ya nini dhidi yangu toa tafakari yako kisha kausha mzee wangu
ndio nani hawa sisi wengine tupo nansio huku visiwani hatuwajui hao
Flattering hiyoMimi nikiwa Rais au na cheo chochote natangaza mapema kuwa chawa wote wanaopenda mambo ya kusifu na kuabudu nitawapa za kichwa kwani hakuna upuuzi ambao siipendi kama wa kusifia hovyo .