yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Siku 2 zilizopita tff kupitia mzee tenga wamemzawadi sh.laki tano mwamuzi muisrael mkongo eti kwa kumudu mchezo kati ya yanga na azam.sitaki kuzungumzia kama kweli alimudu ule mchezo au lah.pia sitaki kuzungumzia tendo hilo linawahamasisha nini marefa wenqine au kama mkongo ndo wakwanza kuchezesha vzuri.swali langu ni kwamba kwanini tenga ampe zawadi wakati bado rufaa ya yanga haijatolewa maamuzi? Hilo tendo linatoa sms gani kwa wale wanaoshughulikia hiyo rufaa ambapo yeye ni bosi wao? Labda Ingekuwa na maana kama wangesema hizo pesa ni za pole kutokana na kipigo,