Soon tutamuona akirejea uraiani akumbuke tu ile dose
Naona lulu aliwabana sana huko kitaaniMy thoughts are with you my real brother Kanumba.I pray to God that you get your Justice.You didn't deserve to die miserably like that.
Hujaona nimeshushuliwa kuwa ni hyatt regency niache kuiga maisha ya watu
Humu JF kuna wanaume wana vituko mnoo
Nafikiri hiyo ilitikana na mfumo wa maisha aliyokuwa anaishi!Kuna fundisho la kuua bila kukusudia?
Kuua bila kukusudia ina maana ni bahati mbaya, kuna fundisho la kukwepa bahati mbaya?
Ni kosa la uchapajiDose ipi tena, hebu mwagika kiduchu
?Dose ipi tena, hebu mwagika kiduchu
Bush lawyer hapo aliposema murder case hukumu ni kifo tu haina mbadala ndio nimeona hana tofauti na anayempondaKijana mbona unaongea kwa hasira badala ya kuelimisha? umejawa na muhemuko wa kustaajabu yaliyotokea kwa Lulu kuliko case yenyewe.. Kwa kuwa unafahamu kuwa humu wengi ni mbumbu kuliko wewe jaji wa Mahakama kuu ulipashwa kuwaeleimisha ili wajue jinsi aina hizi za case zinavyoendeshwa na hukumu zake zinavyotolewa kuliko aina ya kuwashwashwa ulionao.. Teach, educate and share your experiencess..
Hajui criminal .....na hiyo ndio downfall ya luluMtu Kama Peter kibatara I thought may be he could says mtuhumiwa kipindi ana tenda kosa alikuwa under 18 naalisota rumande hivyo basi ile ilikuwa ni adhabu tosha mahakama iangalie jinsi ya kupunguza adhabu
Teh hiyo amen ya uongo kama nakuona unavojisemea miaka kumi ingependezea (in Dr lui's voice)
Yaaan...nimemsogelea karibu, hapana asee, sura imechoka mikorogo, uwii na munalove nae sura hazitaki mikorogo uwiii yaaan....camera zinawabeba asee bora ake hata Sinta mkorogo umemkubaliAtaachaje wakati hataki weusi na ujana wanautaka
Manslaughter ni seven years mkuuUkisoma thread ndio utaweza kumuonea huruma Mheshimiwa Rais, ni kwamba anatawala maiti.
Manslaughter adhabu yake ni kifungo cha maisha, mbumbumbu kama wewe huwezi kujuwa leo hii wakili alipambana vipi mpaka mteja wake kupewa adhabu ndogo kama hii.
Watanzania IQ zao zinasikitisha, Rais hawezi kutimiza ndoto zake kwakuwa na idadi ya raia mambumbumbu kiasi hiki.
Namuonea huruma Mr President.