Eliud Mvela: Kuna timu inatembea na marefa wao special

Eliud Mvela: Kuna timu inatembea na marefa wao special

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
24,703
Reaction score
44,059
"Viongozi wa TFF na Bodi ya Ligi au Viongozi wanaosimamia mpira wakianza kuwa biased (kuwa na upendeleo) hili jambo linaendaga taratibu taratibu mwishoni linaanza kujitokeza, unaanza kujulikana una upendeleo"

"Mimi nimekuwa nikiangalia sana baadhi ya mechi zinazochezwa, unaona kabisa marefa ni kama wanapangwa hivi, timu moja inachezeshwa na marefa wa aina hiyo hiyo muda wote, kwa sisi wataalamu wa mpira na wajanja tunajua kabisa huyu refa anatembea na hii timu, lakini timu zingine zinaona na zikishaona mwisho zinafikiria TFF wanapendelea, wakati mwingine unaweza kukuta TFF hawapendelei ila vyombo vyake ndivyo vinavyofanya madudu" Amesema Eliud Mvela, Aliyekuwa Mkurugenzi wa kamati ya Sheria na hadhi ya wanachama na wachezaji TFF.
 
Ao ni Simba, Tuliwaonya wakati wa usajili waka puuza.
Kwasasa Wana wadhalilisha marefa kwa fedha za hongo.
Timu ina wastani wa Kila mechi mbili Penalty Moja.
 
Huyu Eliud Mvela si ndo alipewa Mkurugenzi wa Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wanachama na Malinzi pasipo kuwa na Vigezo vya Nafasi husika.
Si ndo kipindi kile Manara alibeba TV akaenda nayo Msimbazi kwa sababu yao 😀 😀 😀

Haya ni mambo ya Nyakati tu hayahitaji HASIRA...
 
"Viongozi wa TFF na Bodi ya Ligi au Viongozi wanaosimamia mpira wakianza kuwa biased (kuwa na upendeleo) hili jambo linaendaga taratibu taratibu mwishoni linaanza kujitokeza, unaanza kujulikana una upendeleo"

"Mimi nimekuwa nikiangalia sana baadhi ya mechi zinazochezwa, unaona kabisa marefa ni kama wanapangwa hivi, timu moja inachezeshwa na marefa wa aina hiyo hiyo muda wote, kwa sisi wataalamu wa mpira na wajanja tunajua kabisa huyu refa anatembea na hii timu, lakini timu zingine zinaona na zikishaona mwisho zinafikiria TFF wanapendelea, wakati mwingine unaweza kukuta TFF hawapendelei ila vyombo vyake ndivyo vinavyofanya madudu" Amesema Eliud Mvela, Aliyekuwa Mkurugenzi wa kamati ya Sheria na hadhi ya wanachama na wachezaji TFF.
Sasa mbona malalamiko ni mengi sana? Hata TFF na CAS watawasaidia kwa lipi sasa. Mara leo hili mara kesho lile. Malalamiko malalamiko malalamiko

Na wanaolalamika ni walewale tu Utopolo.

Mbona Simba hawalalamiki Yanga/GSM kudhamini vilabu vingi na kupanga matokeo.

MMESHIKWA PABAYA
 
Sasa mbona malalamiko ni mengi sana? Hata TFF na CAS watawasaidia kwa lipi sasa. Mara leo hili mara kesho lile. Malalamiko malalamiko malalamiko

Na wanaolalamika ni walewale tu Utopolo.

Mbona Simba hawalalamiki Yanga/GSM kudhamini vilabu vingi na kupanga matokeo.

MMESHIKWA PABAYA
Tutaelewana tuu
 
Screenshot_20250504-150758_Instagram.jpg
mkiwa mnaongea upupu wenu muwe na viambatanishi...
Screenshot_20250504-150536_Instagram.jpg
 
"Viongozi wa TFF na Bodi ya Ligi au Viongozi wanaosimamia mpira wakianza kuwa biased (kuwa na upendeleo) hili jambo linaendaga taratibu taratibu mwishoni linaanza kujitokeza, unaanza kujulikana una upendeleo"

"Mimi nimekuwa nikiangalia sana baadhi ya mechi zinazochezwa, unaona kabisa marefa ni kama wanapangwa hivi, timu moja inachezeshwa na marefa wa aina hiyo hiyo muda wote, kwa sisi wataalamu wa mpira na wajanja tunajua kabisa huyu refa anatembea na hii timu, lakini timu zingine zinaona na zikishaona mwisho zinafikiria TFF wanapendelea, wakati mwingine unaweza kukuta TFF hawapendelei ila vyombo vyake ndivyo vinavyofanya madudu" Amesema Eliud Mvela, Aliyekuwa Mkurugenzi wa kamati ya Sheria na hadhi ya wanachama na wachezaji TFF.
Mkiambiwa TFF na kamati zake zimeoza kwa rushwa na unazi, wacha🐐 wenu waliyoko kwenye payroll yenu pale Crown fm wanakaza fuvu🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom