Namwangalia Mh.OLE Sendeka TBC1,hivi ni kweli Wabunge wa CCM wanadhani Watanzania bado ni wa Miaka 70 WASIOJUA nini wanakifanya?Cuf nao wanavuna matunda ya ndoa yao ndo maana wanalalamika.CCM na CUF ,jadilni hoja iliyopo mbele yenu,ndo tunachokitaka watanzania na sio kuijadili CHADEMA,maana hata mkiwasema,bado kumbukeni hiyo ndo "PEOPLES POWER".