Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
- Thread starter
- #181
Sijui neno siri lina maana gani kwako.....Lakini subiri siku sinyingi utaujua ukweli....kikao cha siri umepataje picha banaaaaaaaa sio siri tena hiyo
Alafu wamechelewa huku washagua nahisi walitaka kuwahi kale kamchezo cha JOHN SHIBUDA
chadema wamekoma kuendekeza makombo nahisi hapo lema anawasabahi tu wampe njia tuchukue jimbo basiiiii