Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Siku chache baada ya kuchakachuliwa hatimae vijana wawili Elirehema Kaaya na Wiliamu Sarakikya watangaza nia ya kuhamia Chadema kama uchaguzi hautafanyika upya.
Walisema uchaguzi uliofanyika rushwa ilitumiaka kwa kiwango cha juu sana, hivyo hawako tayari kuendelea kukaa kwenye chama cha mafisadi wanaotumia kodi ya wananchi kujinufaisha kwa faida ya familia moja wameahidi kama uchaguzi usipo rudiwa basi wana hamia chadema kwenye chama makini na kuwahakikishia jimbo hilo linaenda chadema, haya yalijitokeza usiku wa kuamukia jana baada ya kuamua kukutana na kamanda Godbless Lema kwenye hotel ya Impala ilikuangalia uwezekanao wa kuhamia Chadema.
Nilifanikiwa kujipenyeza na kuchukua picha ingawa haionekani vema.
Wa kwanza kulia ni Elirehema Kaaya katikati ni Kamanda Godbless Lema na kushoto ni Wiliam Sarakikya.
wakiwa kwenye kikao cha siri hoteli ya Impala Hotel.
=========================
Upadate
Baada ya kubaini mpasuko uliko ndani ya kambi Mbili za Membe na Lowasa. Ripoti ya Mwigulu imependekeza kukata majina ya Kwanza hadi namba 4, kama njia ya kupunguza uhasama ndani ya chama hivyo itafanya kambi ya Lowasa na Membe zote kukosa kama hili litafanyika litakuwa pigo kubwa kwa Sioi alietumia kiasi cha 100mil kuhonga wajumbe hiyo Huku chama kikitumia kiasi cha mil 68 kama posho kwa wajumbe waliokuwa wakipewa kuanzia 50,000.
=============
UPDATE
Siku chache baada ya Wiliam Sarakikya kutaka kuhamia Chadema huku aliekuwa mshindi wa tano (Msani) akihamia chadema chama cha Mapinduzi wamekubaliana na matakwa ya Wiliam Sarakikya kuwa uchauguzi huo urudiwe, kamati kuu ya ccm (CC) kupitia msemaji wake Nape Nauye amesema uchaguzi huo utarudiwa tarehe 1-3-2012, huku akiwataja watakao chuana kuwa ni Wiliam Sarakikya na Sioi Sumari alie tumia zaidi ya mil 100 kwenye uchaguzi uliopita.
Walisema uchaguzi uliofanyika rushwa ilitumiaka kwa kiwango cha juu sana, hivyo hawako tayari kuendelea kukaa kwenye chama cha mafisadi wanaotumia kodi ya wananchi kujinufaisha kwa faida ya familia moja wameahidi kama uchaguzi usipo rudiwa basi wana hamia chadema kwenye chama makini na kuwahakikishia jimbo hilo linaenda chadema, haya yalijitokeza usiku wa kuamukia jana baada ya kuamua kukutana na kamanda Godbless Lema kwenye hotel ya Impala ilikuangalia uwezekanao wa kuhamia Chadema.
Nilifanikiwa kujipenyeza na kuchukua picha ingawa haionekani vema.
Wa kwanza kulia ni Elirehema Kaaya katikati ni Kamanda Godbless Lema na kushoto ni Wiliam Sarakikya.
wakiwa kwenye kikao cha siri hoteli ya Impala Hotel.
=========================
Upadate
Baada ya kubaini mpasuko uliko ndani ya kambi Mbili za Membe na Lowasa. Ripoti ya Mwigulu imependekeza kukata majina ya Kwanza hadi namba 4, kama njia ya kupunguza uhasama ndani ya chama hivyo itafanya kambi ya Lowasa na Membe zote kukosa kama hili litafanyika litakuwa pigo kubwa kwa Sioi alietumia kiasi cha 100mil kuhonga wajumbe hiyo Huku chama kikitumia kiasi cha mil 68 kama posho kwa wajumbe waliokuwa wakipewa kuanzia 50,000.
=============
UPDATE
Siku chache baada ya Wiliam Sarakikya kutaka kuhamia Chadema huku aliekuwa mshindi wa tano (Msani) akihamia chadema chama cha Mapinduzi wamekubaliana na matakwa ya Wiliam Sarakikya kuwa uchauguzi huo urudiwe, kamati kuu ya ccm (CC) kupitia msemaji wake Nape Nauye amesema uchaguzi huo utarudiwa tarehe 1-3-2012, huku akiwataja watakao chuana kuwa ni Wiliam Sarakikya na Sioi Sumari alie tumia zaidi ya mil 100 kwenye uchaguzi uliopita.