Elimu yetu ndipo ilipo fikia hapa! huu utakuwa ni utapeli wa taasisi za dini

Chillah

JF-Expert Member
Oct 12, 2016
8,287
8,828
Elimu yetu ina enda kusiko julikana... ina shangaza watu wamesoma na kuhitimu ina wezekana na ajira wamepata wana hudumu sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi, alafu baadae tuna kuja kufuta kile watu walicho kivuna baada ya kuwekeza kwa muda wao walipo kuwa hapo... ina shangaza ni moja ya tatizo kubwa hili...

Vyombo vyetu vyenye kusimamia Elimu nchini vina matatizo gani mpaka haya yanatokea..?? iliwahi tokea pale Kampala University, Bagamoyo University, na vyuo vingine vikipelekewa malalamiko mbalimbali... vikiwemo vyuo vya wa morovian, wakatoliki, na hata vya umma

sasa hili ni la chuo cha mlima meru ni kubwa zaidi na lina tia hofu katika jamii watu kwenda kusoma ktk taasisi za hapa nchini kwakuwa hatujui kesho itakuwaje....

kwa hili la chuo kikuu mlima meru tuna hitaji maelezo ya kina sisi wananchi ili kututoa katika tongotongo kubwa na ukakasi wa hali ya juu... tusije peleka tuhuma sehemu isiyo itajika...

Wasalam

IMG-20180610-WA0046.jpg
 
St. joseph wale vijana angalau walisaidiwa lakini hawa mna wasaidiaje, hata mkiwarudishia ada haisaidiiii kabisa.... wapeni vyeti vyao... waliobakia kama mtawapeleka mweka au sua nk wapelekeni wakamalize huko...
 
Elimu yetu ina enda kusiko julikana... ina shangaza watu wamesoma na kuhitimu ina wezekana na ajira wamepata wana hudumu sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi, alafu baadae tuna kuja kufuta kile watu walicho kivuna baada ya kuwekeza kwa muda wao walipo kuwa hapo... ina shangaza ni moja ya tatizo kubwa hili...

Vyombo vyetu vyenye kusimamia Elimu nchini vina matatizo gani mpaka haya yanatokea..?? iliwahi tokea pale Kampala University, Bagamoyo University, na vyuo vingine vikipelekewa malalamiko mbalimbali... vikiwemo vyuo vya wa morovian, wakatoliki, na hata vya umma

sasa hili ni la chuo cha mlima meru ni kubwa zaidi na lina tia hofu katika jamii watu kwenda kusoma ktk taasisi za hapa nchini kwakuwa hatujui kesho itakuwaje....

kwa hili la chuo kikuu mlima meru tuna hitaji maelezo ya kina sisi wananchi ili kututoa katika tongotongo kubwa na ukakasi wa hali ya juu... tusije peleka tuhuma sehemu isiyo itajika...

Wasalam

View attachment 799216
sababu ikiwa ni ipi hasa?
 
sasa hili ni la chuo cha mlima meru ni kubwa zaidi na lina tia hofu katika jamii watu kwenda kusoma ktk taasisi za hapa nchini kwakuwa hatujui kesho itakuwaje....

kwa hili la chuo kikuu mlima meru tuna hitaji maelezo ya kina sisi wananchi ili kututoa katika tongotongo kubwa na ukakasi wa hali ya juu... tusije peleka tuhuma sehemu isiyo itajika...
Mkuu ulicha andika hapa ni sawa bahati mbaya umekwisha toa tuhuma kwa taasisi za dini. Tudai maelezo kwa nini matokeo yamefutwa ndiyo tuweze kuchambua kwa undani.
 
Mkuu ulicha andika hapa ni sawa bahati mbaya umekwisha toa tuhuma kwa taasisi za dini. Tudai maelezo kwa nini matokeo yamefutwa ndiyo tuweze kuchambua kwa undani.
ime nifanya ni zituhumu kwa kuwa na matukio mengi yanayo wagusa wao zaidi... kule ifakara sijui malinyi wana chuo cha afya, pale bugando kuna chuo cha afya, st joseph tuna kumbuka yaliyo tokea... hapo mlima meru ndio hayo... bado kuna baadhi ya campus za saut nazani nazo zilisha kumbwa na kadhia hii... na hata chuo cha kiislamu moro walisha fungiwa kudaili baadhi ya kozi... kama sio habari basi ni afya...
 
ime nifanya ni zituhumu kwa kuwa na matukio mengi yanayo wagusa wao zaidi... kule ifakara sijui malinyi wana chuo cha afya, pale bugando kuna chuo cha afya, st joseph tuna kumbuka yaliyo tokea... hapo mlima meru ndio hayo... bado kuna baadhi ya campus za saut nazani nazo zilisha kumbwa na kadhia hii... na hata chuo cha kiislamu moro walisha fungiwa kudaili baadhi ya kozi... kama sio habari basi ni afya...
Swali, TCU ilikuwa wapi au nao niwapigaji? Na hapo kwa sababu ni stashahada unaweza ukakuta NACTE pia wanahusika. Halfu kuna programs ni vigumu kujua nani ana regulate (NACTE au TCU). Mapungufu kwenye hizi taasisi mbili za umma hupeleka hawa wengine kukosa viwango.
Hata kwenye zoezi la vyeti feki kuna vingi vilichongwa kwa kushirikiana kati ya vyuo njaa na watendaji huko serikalini, ingiza na hapo usimamizi mbovu.
 
Swali, TCU ilikuwa wapi au nao niwapigaji? Na hapo kwa sababu ni stashahada unaweza ukakuta NACTE pia wanahusika. Halfu kuna programs ni vigumu kujua nani ana regulate (NACTE au TCU). Mapungufu kwenye hizi taasisi mbili za umma hupeleka hawa wengine kukosa viwango.
Hata kwenye zoezi la vyeti feki kuna vingi vilichongwa kwa kushirikiana kati ya vyuo njaa na watendaji huko serikalini, ingiza na hapo usimamizi bovu.
 
Na nyie warudishieni wanafunzi hao muda wao Na ada yao Na gharama zao zote, pia toeni kwenye akili zao makorokocho yote mliyo yajaza
Inasikitisha sana kuwajaza ujinga watu for two years halafu unawaambia leteni hayo makaratasi tuliyowapa hayana maana yeyote wakati muda na pesa zao umewapotezea.
 
Back
Top Bottom