Nyalotsi JF-Expert Member Jul 20, 2011 6,978 5,025 Oct 4, 2012 #1 Kuna mwanafunzi alikuwa wa mwisho kwenye mtihani, wazazi walikasirika sana! Walipomuuliza kwa nini umekuwa wa mwisho, akawajibu: anayekuwaga wa mwisho hakufanya mtihani. Wazazi wakabaki midomo wazi.
Kuna mwanafunzi alikuwa wa mwisho kwenye mtihani, wazazi walikasirika sana! Walipomuuliza kwa nini umekuwa wa mwisho, akawajibu: anayekuwaga wa mwisho hakufanya mtihani. Wazazi wakabaki midomo wazi.
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Oct 5, 2012 #2 Umetisha mkuu ! Near by Sangu high school Mbeya.
U usungilo JF-Expert Member Aug 9, 2012 522 331 Oct 6, 2012 #3 Kuna wengine wanasemaga nimeshika nafasi ya kwanza ukigeuza karatasi
AKILImuchknow JF-Expert Member Sep 3, 2012 213 14 Oct 6, 2012 #5 Eliah G Kamwela said: Hahahaaa... Click to expand... Kilichokuchekesha kitu gani mbona mm sikioni?