Elimu yetu ina vituko!

Nyalotsi

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
6,978
5,025
Kuna mwanafunzi alikuwa wa mwisho kwenye mtihani, wazazi walikasirika sana! Walipomuuliza kwa nini umekuwa wa mwisho, akawajibu: anayekuwaga wa mwisho hakufanya mtihani. Wazazi wakabaki midomo wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…