Kuna mwanafunzi alikuwa wa mwisho kwenye mtihani, wazazi walikasirika sana! Walipomuuliza kwa nini umekuwa wa mwisho, akawajibu: anayekuwaga wa mwisho hakufanya mtihani. Wazazi wakabaki midomo wazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.