Brotherhood
Member
- Nov 20, 2017
- 17
- 5
Fuatilieni huu uzi vizuri na nyie itawauma tu. Misingi ya elimu yetu sasa inasikitisha sana. Kuna shule zinaitwa Technical secondary school zapata Nane nchi nzima tena shule za historia kubwa tanzania. Wazee wetu walikuwa wanatamba na rlomu walizopata huko wakijiita mafundi mchundo(technician) na Waandisi bobezi. Nawatonya tu kidogo, shule zote hazifundishhi masomo ya ufunndi kwa kukosa mateacher wa masomo, wakifa, wakistaafu au kuhama masomo yanafungwa. No replacement. Sasa hivi ili kuziba mapengo ya walimu wameamua kuseminisha wanafunzi wa EGM, PCB, CBG NA PCM Waje kufundisha magar/umeme/ujenzi na mitambo.. Hao walimu wanafunzi wamekwenda mazoezi wamekwepa kuyafundisha wameamua wafundishe fizikia tu. Ufundi hawana wajuacho. Hii ndo nchi ya viwanda na technolojia mfu. Wadau toeni ushauri kwa Rais na serikali ya awamu ya tanobijue cha kufanya. Zamani walimu walicjukuabmafundi husika na waandisi leo inakuwaje.
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app