Elimu ya tanzania ni tabu tupu!!!!!!!!!!!!!!!!

Sinai

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
288
47
:panda::panda::panda:Jamani, nilibahatika kuwa external examiner wa chuo kimoja cha biashara (CBE), hapa TZ hivi karibuni. Wakati napitia baadhi ya paper za wanachuo, nilishangaa sana kwa kweli, unakuta mtu ameandika essay hata haieleweki, unaweza kusoma paragraph tatu hakuna chochote kinachoendana na swali!!!!!!!!! Sasa watu kama hawa walifaulije form four na six? Je elimu yetu tunaipeleka wapi wadau?:panda::panda::panda::panda:
 
To hell kwa kweli sio siri elimu madesa itatuua how can we compete kwenye hilo soko la ajira jamani???????????
 
hayo usemayo ni kweli kabisa. lakini naomba nikuulize, wewe kwa nafasi yako hiyo ulisaidiaje kuikomboa hii elimu ya TZ? au baada ya kukamata allowance yako hukujali tena kitu?
 
:panda::panda::panda:Jamani, nilibahatika kuwa external examiner wa chuo kimoja cha biashara (CBE), hapa TZ hivi karibuni. Wakati napitia baadhi ya paper za wanachuo, nilishangaa sana kwa kweli, unakuta mtu ameandika essay hata haieleweki, unaweza kusoma paragraph tatu hakuna chochote kinachoendana na swali!!!!!!!!! Sasa watu kama hawa walifaulije form four na six? Je elimu yetu tunaipeleka wapi wadau?:panda::panda::panda::panda:

Yaani juzi jamaa alinipa proposal yake ya Masters nimuangalizie (ameshapata admission na anasoma!!! na mwalimu alishaipitisha kwamba inafaa)..kwa kweli I can only say one word: TRAGIC! Sijui hawa wanafunzi wanafaulu vipi degree zao? Jamani I am sorry to say lakini something is wrong, very wrong with our education system! Hata kama ni lugha mbovu, lakini unakuta mwanafunzi anaandika page nzima bila kuwa na point hata moja. Kipi kifanyike jamani? Hili ni janga la taifa!
 
MJ

I am afraid you are being too simplistic! Unaamini kweli mtu ambaye amelipwa siku mbili kusahihisha papers za wanafunzi atoe solution kwa tatizo kama hili ambalo limeathiri mfumo mzima wa elimu ya nchi yetu??? C`on rafiki..perhaps sikukuelewa..
 
Teh teh, ndio bongo hiyo mkubwa, kinachotakiwa ni cheti tu! na waalimu wenyewe wote wamekata tamaa kwa maslahi duni na mazingira mabovu ya kazi, wapo busy kutafuta pesa hawana muda wa kusoma na kufuatilia proposal za wanafunzi!
 
Yaani juzi jamaa alinipa proposal yake ya Masters nimuangalizie (ameshapata admission na anasoma!!! na mwalimu alishaipitisha kwamba inafaa)..kwa kweli I can only say one word: TRAGIC! Sijui hawa wanafunzi wanafaulu vipi degree zao? Jamani I am sorry to say lakini something is wrong, very wrong with our education system! Hata kama ni lugha mbovu, lakini unakuta mwanafunzi anaandika page nzima bila kuwa na point hata moja. Kipi kifanyike jamani? Hili ni janga la taifa!

TRAGIC is a correct word. I teach also in a Non-university Higher Learning Insititution and I observe similar issues. Lakini nilianza kufundisha sekondari in mid 90s had 2000. Adui mkubwa wa elimu yetu ni TUITION, kwa maana "kinachofundishwa" kwenye tuition ni kujibu maswali. No background no anything, na kwa kuwa NECTA wanatoa booklets za mitihani ya nyuma (na maswali yanarudiwa kwenye mitihani inayofuata) kuna possibility ya mtu kukaririshwa majibu na akapata A lakini akiwa hajui kitu.

Wizara inabadilisha mitaala kila kukicha - kuna mwanafunzi anaanza darasa la kwanza na mtaala fulani lakini by the time anamaliza darasa la saba amebadilishiwa mitaala mara mbili. Most of the countries - including zilizoendelea - mtoto wa madarasa ya chini (la kwanza hadi la tatu) anafundishwa masomo matatu tu darasani, KUANDIKA, KUSOMA na KUHESABU period. Leo hapa kwetu watoto kwenye madarasa ya chini eti wanafundishwa sayansi! Mtoto wa miaka sita HAWEZI KUTEGEMEWA KUKAA DARASANI KWA SAA 3 Au ZAIDI NA AKAJIFUNZA KITU. Mtoto wa umri huo anapaswa kufundishwa somo moja kwa siku, kufanya mazoezi mengi ya kile alichojifunza na kurudia ya nyuma. Muda unaobaki NI WA KUCHEZA, michezo ni MUHIMU mno kwenye miaka ya mwanzo ya umri wa mtoto katika kujifunza.

Kwenye vyuo vyetu innovation ni almost zero. Kuna vyuo mwalimu anatoa maswali kama assignment, yale yale kwenye test na examination. It is pathetic how our education standard has been eroded.
 
apart from our education system..,the competency and intergrity of our lecturers /examiners are highly questionable....they are the ones who contributes to this rotten system..thats a fact.:angry:
 
apart from our education system..,the competency and intergrity of our lecturers /examiners are highly questionable....they are the ones who contributes to this rotten system..thats a fact.:angry:

all of them...?????
 
Back
Top Bottom