Excellent Training Center
Member
- Aug 9, 2017
- 65
- 24
Chuo cha Excellent Training Center kinawatangazia kuwa maandalizi ya QT na Resitters kwa mwaka wa masomo 2018 yameanza. Hivyo wahi mapema. Pia tunapokea darasa la saba waliofeli hata kama hajui kusoma na kuandika. Chuo kimesajiriwa na kituo cha Mtihani wa Taifa (NECTA). Waliosoma kwetu wote wanapata credit na kubadili maisha yao. Kwa maelezo zaidi tupigie 0676450289 au excellenttrainingcentre20@gmail.com.
Tupo Upanga Mashariki karibu na Regency hospital.
Tupo Upanga Mashariki karibu na Regency hospital.