MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
mpendwa huyu Suriya ni mtu ambae amejiingiza kwenye masuala ambayo hana ufaham nayo. kuhusiana na kesi yangu nilitegemea naongea na mtaalam ambae angeweza japo kunipa ushauri ukanisaidia hebu sasa ona ancho nijibu hakifanani kabisa na madhumuni ya kutaka kusaidia jamii.Rekebisha lugha
Jukwaa la heshima hili.