Elimu ya mama Mjamzito

Elimu ya mama Mjamzito

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,874
Reaction score
15,871
Elimu kuhusu mama mjamzito wakati wa mimba hadi wakati wa kujifungua.

Uliza swali lako madactari watatoa majibu.

PV
GBWA-20181218224110.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana hakuna mahusiano ya nyonga na umbo la mtu,

Unaweza kukuta msichana ni mwembamba na njia ya nyonga ikawa ya kutosha kabisa na huyo mnene njia ikawa ndogo, kwa hyo wajawazito wote hupimwa pindi wanapoenda clinic.
Hivi wanawake wanene nyonga zao huwa zinatanuka sana kuliko wembamba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyoga ni mfupa unaitwa pelvic borne, unakua kama mifupa mingine
Kwahiyo endapo mwanamke alikua na tatizo la nyonga kisa ajari katika huo mfupa au ulemavu wa kuzaliwa nao basi anaweza endelea kujifungua kwa oparetion.

Pia unaweza kukuta nyonga inatosha sema mtoto alie tumbon ndio ikawa tatizo akawa mkubwa sana, kichwa chake kushindwa kupita.

Lakin endapo nyonga ilikua haitosh kwa sababu ya umri bas inawezekana akikua zaidi ataweza kujifungua kwa njia ya kawaida.

Tatizo hilo linawapata hasa mabint ambao wanashika mimba wakiwa na umri mdogo.
Hivi madkatari wanaposema kwamba nyonga zako ni Ndogo Na wakasema kwamba unatakiwa kufanyiwa operation JE Kuna uwezekano wa kuendelea kuzaa kwa operation?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu kuhusu mama mjamzito wakati wa mimba hadi wakati wa kujifungua.

Uliza swali lako madactari watatoa majibu.

PVView attachment 983336

Sent using Jamii Forums mobile app
nilimpeleka mke wangu kwenye hospitali moja kubwa hapa mjini kwa ajili ya kujifungua.
bahati mbaya dr. aliemtibia aliongezea ufundi kwa kumtamani mke wangu na hatimae alifanikiwa kumrubuni na kufanya nae tendo la ndoa. kilichofatia ni kumjaza mimba nyingine baada ya miezi minane.
nimefatilia kwa ukaribu ni baada ya kuona hali ya mtoto wetu aliyemzaa miezi 8 iliyopita ikidhoofika na baafa ya uchunguzi nikagundua mke wangu amepata ujauzito ambao mpaka nimegundua ni zaid ya miezi mi4 imeshapita. nilipom'bana aligoma kunieleza ukweli. lkn niliendelea kuchunguza kiundani zaidi hatimae nikagundua mazito hayo.
je kiafya hii mimba haina madhara kwa kadri anavoendelea kumnyonyesha mtoto wetu.?
Je huyu Dr. aliyefanya unyama huu anastahili kuendelea kuwa dr. maana nimegundua amemwambia mke wangu asishiriki tendo la ndoa mimi mume wake kwa kisingizio ntamuharibu kiumbe chao kijacho. wakati yeye huyohyo dr. alisababisha mtoto wetu kuugua kwa muda baada ya kuathirika kutokana na hali ya mama kubeba mimba nyingine.
mpaka naongea hapa bado siku chache mke wangu ajifungue mtoto wa dr. mharibifu.
nini nifanye juu ya Dr. huyu aliyenivunjia ndoa na familia yangu kwa mana hivi navoongea nimesha mtaliki mke wangu kutokana na mke wangu kukiri kuwa na mahusiano na Dr.
NDOA YETU KWA MPAKA MUDA HUU NDIO INGEKUWA INAINGIA MWAKA WA TATU.
NAOMBA USHAURI WENU.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu nieleze kwanza kuhusu huyo mtoto wako wa kwanza, anatatizo gani la kiafya kwa sasa?????
nilimpeleka mke wangu kwenye hospitali moja kubwa hapa mjini kwa ajili ya kujifungua.
bahati mbaya dr. aliemtibia aliongezea ufundi kwa kumtamani mke wangu na hatimae alifanikiwa kumrubuni na kufanya nae tendo la ndoa. kilichofatia ni kumjaza mimba nyingine baada ya miezi minane.
nimefatilia kwa ukaribu ni baada ya kuona hali ya mtoto wetu aliyemzaa miezi 8 iliyopita ikidhoofika na baafa ya uchunguzi nikagundua mke wangu amepata ujauzito ambao mpaka nimegundua ni zaid ya miezi mi4 imeshapita. nilipom'bana aligoma kunieleza ukweli. lkn niliendelea kuchunguza kiundani zaidi hatimae nikagundua mazito hayo.
je kiafya hii mimba haina madhara kwa kadri anavoendelea kumnyonyesha mtoto wetu.?
Je huyu Dr. aliyefanya unyama huu anastahili kuendelea kuwa dr. maana nimegundua amemwambia mke wangu asishiriki tendo la ndoa mimi mume wake kwa kisingizio ntamuharibu kiumbe chao kijacho. wakati yeye huyohyo dr. alisababisha mtoto wetu kuugua kwa muda baada ya kuathirika kutokana na hali ya mama kubeba mimba nyingine.
mpaka naongea hapa bado siku chache mke wangu ajifungue mtoto wa dr. mharibifu.
nini nifanye juu ya Dr. huyu aliyenivunjia ndoa na familia yangu kwa mana hivi navoongea nimesha mtaliki mke wangu kutokana na mke wangu kukiri kuwa na mahusiano na Dr.
NDOA YETU KWA MPAKA MUDA HUU NDIO INGEKUWA INAINGIA MWAKA WA TATU.
NAOMBA USHAURI WENU.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu nieleze kwanza kuhusu huyo mtoto wako wa kwanza, anatatizo gani la kiafya kwa sasa?????

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa sasa hali ya mtoto ni njema kwa maana nilimchukua kutoka kwa mama yake ili asiwe karibu nae na tulimpatia matibabu ya kutosha kwa sasa anaendelea vizuri.
ila hofu yangu je kwakuwa mama wa mtoto alikuja kumchukua mtoto na wakati huohuo nnaimani bado watakuwa wanaendeleza mahusiano na huyu dr. kwakuwa mimi kwa sasa sina mahusiano nae.
je mtoto ataendelea kuwa salama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakushahuri tu mshirikishe Mungu katika maisha yako ya ndoa, kwan mm sikujui na wala simjui mkewako na sijui ni kwann alitengeneza mchepuko huo.
Kwan pia ni kweli UZINIFU Umekuwa tatizo kubwa na dhambi kubwa kwa watu wengi.

Mshirikishe Mungu, fanya maombi,
Pia kama wew ni mkristo unaweza kwenda kwa watumish wa dini watakushahur vema kwa mahojiano mazuri ya ana kwa ana.

Pia swala la wew kukaa na mke wako akisha jifungua linawezekana, na mkaendelea kukaa kama mume na mke
Na kufanya tendo kama kawaida,

Kwan kimaandiko, yani neno la Mungu
Halisemi kuwa wew unaweza kumdhuri mtoto huyo wa nje wa ndo, wew umeunganishwa na Mungu na wew huyo ni mke wako tu.
Kilichounganishwa na Mungu mwanadamu hawezi kukitenganisha.

nilimpeleka mke wangu kwenye hospitali moja kubwa hapa mjini kwa ajili ya kujifungua.
bahati mbaya dr. aliemtibia aliongezea ufundi kwa kumtamani mke wangu na hatimae alifanikiwa kumrubuni na kufanya nae tendo la ndoa. kilichofatia ni kumjaza mimba nyingine baada ya miezi minane.
nimefatilia kwa ukaribu ni baada ya kuona hali ya mtoto wetu aliyemzaa miezi 8 iliyopita ikidhoofika na baafa ya uchunguzi nikagundua mke wangu amepata ujauzito ambao mpaka nimegundua ni zaid ya miezi mi4 imeshapita. nilipom'bana aligoma kunieleza ukweli. lkn niliendelea kuchunguza kiundani zaidi hatimae nikagundua mazito hayo.
je kiafya hii mimba haina madhara kwa kadri anavoendelea kumnyonyesha mtoto wetu.?
Je huyu Dr. aliyefanya unyama huu anastahili kuendelea kuwa dr. maana nimegundua amemwambia mke wangu asishiriki tendo la ndoa mimi mume wake kwa kisingizio ntamuharibu kiumbe chao kijacho. wakati yeye huyohyo dr. alisababisha mtoto wetu kuugua kwa muda baada ya kuathirika kutokana na hali ya mama kubeba mimba nyingine.
mpaka naongea hapa bado siku chache mke wangu ajifungue mtoto wa dr. mharibifu.
nini nifanye juu ya Dr. huyu aliyenivunjia ndoa na familia yangu kwa mana hivi navoongea nimesha mtaliki mke wangu kutokana na mke wangu kukiri kuwa na mahusiano na Dr.
NDOA YETU KWA MPAKA MUDA HUU NDIO INGEKUWA INAINGIA MWAKA WA TATU.
NAOMBA USHAURI WENU.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto yupo salama hawezi kuzulika kabisa.

La Muhimu wew mshirikishe tu Mungu kuhusu ndoa yako.
Kama unahitaji ndoa yako kurndelea.

Lakin kama mke wako kaona hataki kuambatana na wew kabisa, na anaona ni sawa yeye kuachika hivo.

Sisi wakristo tunasema hapo uliteleza na kuwa na mwanamke ambae hujapangiwa maishan, na unaweza kutafuta mwanamke mwingine.

Ila kwa uhakika zaidi ni Mungu pekee mwenya majibu ni yupi anafaa kuwa mke wako ni huyo aliyeyafanya haya yote au kuna mwingine.
kwa sasa hali ya mtoto ni njema kwa maana nilimchukua kutoka kwa mama yake ili asiwe karibu nae na tulimpatia matibabu ya kutosha kwa sasa anaendelea vizuri.
ila hofu yangu je kwakuwa mama wa mtoto alikuja kumchukua mtoto na wakati huohuo nnaimani bado watakuwa wanaendeleza mahusiano na huyu dr. kwakuwa mimi kwa sasa sina mahusiano nae.
je mtoto ataendelea kuwa salama?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakushahuri tu mshitikishe Mungu katika maisha yako ya ndoa, kwan mm sikujui na wala simjui mkewako na sijui ni kwann alitengeneza mchepuko huo.
Kwan pia ni kweli UZINIFU Umekuwa tatizo kubwa na dhambi kubwa kwa watu wengi.

Mshirikishe Mungu, fanya maombi,
Pia kama wew ni mkristo unaweza kwenda kwa watumish wa dini watakushahur vema kwa mahojiano mazuri ya ana kwa ana.

Pia swala la wew kukaa na mke wako akisha jifungua linawezekana, na mkaendelea kukaa kama mume na mke
Na kufanya tendo kama kawaida,

Kwan kimaandiko, yani neno la Mungu
Halisemi kuwa wew unaweza kumdhuri mtoto huyo wa nje wa ndo, wew umeunganishwa na Mungu na wew huyo ni mke wako tu.
Kilichounganishwa na Mungu mwanadamu hawezi kukitenganisha.



Sent using Jamii Forums mobile app
hujajibu hii hoja yangu mkuu.
mambo ya imani ni mengine kabisaa hapa nachotafuta ni kujua huyu mtoto wangu kwakuwa yupo na mamaake kwasasa na bado anaendeleza uhusiano na huyu Dr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna madhara yoyote,
Cha msingi kuzingalia chakula cha virutubisho vyote.

Kwan atakua ameachishwa ziwa kwa haraka.

Na maziwa ya mama ndio kinga hasa kwa mtoto.
Ndo maana mtoto ikawa rahis kupata maradhi.

Muhimu mwambie azingatie chakula kwa huyo mtoto wako.
hujajibu hii hoja yangu mkuu.
mambo ya imani ni mengine kabisaa hapa nachotafuta ni kujua huyu mtoto wangu kwakuwa yupo na mamaake kwasasa na bado anaendeleza uhusiano na huyu Dr.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kosa lake huwezi kumfanya lolote,
Kwan yeye hakubaka.
Najua yeye na huyo mke wako walitafutana baadae wakafanya yao.

Sasa lilikua kubaliano lake na huyo mwanamke.

Kiselikari hakuna makosa hapo.

Kwa dactari anao uhuru wa kotongoza mtu yeyote hata kama aliwahi kumtibu,
Ilimradi tu asitongoze akiwa kazini.

Lakini nje na kazini ni ruksa kutongoza.

So najua yeye hata kama alimyongozea hosp lazima atakana.
Atasema alimtongoza mbali na kazi na huyo mwanamke akakubali kufanya nae.
hujaniambia ni vipi kuhusu Dr. ni hatua gani anastahili kwa kitendo alichofanya kulingana na taratibu na sheria za matibabu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kosa lake huwezi kumfanya lolote,
Kwan yeye hakubaka.
Najua yeye na huyo mke wako walitafutana baadae wakafanya yao.

Sasa lilikua kubaliano lake na huyo mwanamke.

Kiselikari hakuna makosa hapo.

Kwa dactari anao uhuru wa kotongoza mtu yeyote hata kama aliwahi kumtibu,
Ilimradi tu asitongoze akiwa kazini.

Lakini nje na kazini ni ruksa kutongoza.

So najua yeye hata kama alimyongozea hosp lazima atakana.
Atasema alimtongoza mbali na kazi na huyo mwanamke akakubali kufanya nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unanijibu hivi kwakuwa hujajua kiundani juu ya tatizo hili.. nimeshafanya utafiti wa kisheria kutaka kujua nini cha kufanya kutokana na tatizo lililotekea. sina uhakika kama wewe ni daktari au umejitolea tu kusaidia jamii kutatua matatizo yao. nikiangalia tu majibu yako ya mwanzo kuna kitu nimegundua juu ya ufahamu wako kwenye tatizo hili.
nimeongea na wanasheria zaidi ya wanne tena wenye ufaham tosha hakuna hata mmoja aliyenijibu kama ulivojibu wewe kwamba daktari hana tatizo as long ni haki yake kutongoza ila kuna kitu hukijui na hukifaham MAADILI YA DAKTARI ungekuwa unaufaham juu ya maadili ungeweza kujibu kwa usahihi juu ya kadhia hii.
kimaadili daktari hakupaswa kufanya alichokifanya kwa sababu ni wagonjwa wangapi wanpita kwake na je akiwatongoza kupia udhaifu tu wa kuwalaghai na hatimae kuwafanyia matendo yasiyopaswa kufanywa na Daktari tena ni BINGWA WA MASUALA YA AFYA YA KINAMAMA NA WATOTO.
mbaya zaidi huyu dr alikuwa anafanya ufuska na mke wangu ndani ya ofisi yake hapo hospitalini na ilifikia wakati mkewangu alikuwa anapinga sana kufanya ufuska ofini kwa dr. mpaka kufikia kumwambia wawe wakiwa na hamu ya kubanjuwana waende kwenye hotel ili wastarehe vizuri. lkn dr mkware alipinga na kumwambia siku akiwa na kiu je ni mpaka amtafute waende gest... mkuu haya nimekumegea tu ambayo niliyoyapata kupitia uchunguzi wangu.
tukija kwenye swali.. NI SAHIHI KWA HUYU DR. MCHAFUZI KUFANYA UFUSKA MPAKA OFISINI ANAKO FANYIA TIBA KWA JAMII?
2. Huyu mke wangu alifikia kumwambia Dr kuwa anataka wakutane wafanye yao kwahiyo siku ya leo APUNGUZE RATIBA YA WAGONJWA atakaowafanyia oparesheni yaani kama ni wagonjwa 10 aliopangiwa basi afanye yaani atibie wagonjwa wa5 tu ili wapate muda wakwenda kufanya ufuska wao.
HOSPITAL inaweza kukubali ujinga huu? je hapa utaniambia kuwa Dr bado hana makosa kwa ufahamu wako??
 
Back
Top Bottom