Elimu ya Makamba

Elimu ya Makamba

GAMBLER

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2009
Posts
303
Reaction score
12
Mara nyingi huyu katibu mkuu wa ccm amekuwa akiongea pumba sana katika matamshi yake.Mpaka juzi tu amewaita wehu baadhi ya washiriki ktk kongamano la Taasisi ya mwalimu Nyerere. Sasa nimekuwa ninashuku kuhusu kiwango cha elimu alichokuwa nacho huyu bwana? Yeyota mwenye data kuhusu elimu ya makamba amwage...
 
mara nyingi huyu katibu mkuu wa ccm amekuwa akiongea pumba sana katika matamshi yake.mpaka juzi tu amewaita wehu baadhi ya washiriki ktk kongamano la taasisi ya mwalimu nyerere. Sasa nimekuwa ninashuku kuhusu kiwango cha elimu alichokuwa nacho huyu bwana? Yeyota mwenye data kuhusu elimu ya makamba amwage...


Alisomeshwa na wakoloni kule makerere.than oxford Uk .na alimalizia Harvad .😉
 
Alisomeshwa na wakoloni kule makerere.than oxford Uk .na alimalizia Harvad .😉

Ha ha ha
Basi upupu anaoutoa ni wa kisomi kweli kweli.Waliomsomesha wanaweza kufa kwa presha!!!
 
Mara nyingi huyu katibu mkuu wa ccm amekuwa akiongea pumba sana katika matamshi yake.Mpaka juzi tu amewaita wehu baadhi ya washiriki ktk kongamano la Taasisi ya mwalimu Nyerere. Sasa nimekuwa ninashuku kuhusu kiwango cha elimu alichokuwa nacho huyu bwana? Yeyota mwenye data kuhusu elimu ya makamba amwage...
.
Mbona ata yule mbunge kutoka kyela naye anatukana hivyohivyo nayeye ni Dr?.
 
Hawezi kusoma havard wakiti anapumba kiasi hicho, labda havard ya kigamboni na jeshini.
 
You guys you need to know propaganda.Kazi ya MAKAMBA,SOFIA SIMBA,KINGUNGE ni kuleta confusion.Wamekubali kubeba lawama na kutukanwa na kila mtu.Utu wao na akili zimekubali hayo ili mradi wanapata pesa na kututosa watanzania.

Kazi kubwa ni kuwahamisha kutoka kwenye ukweli na kuwawaza wao, mkenge huu tumeuvaa sana hapa jamvini.

Mrema asingehama CCM naye angekuwa mmoja wapo maana kasomea kabisa propaganda.

msifikiri sio wasomi, hawana akili they purposely do it

Hiyo ndio CCM ....nchi zinazouza silaha kiholela wakati mwingine wali waza mbali sana
 
Mara nyingi huyu katibu mkuu wa ccm amekuwa akiongea pumba sana katika matamshi yake.Mpaka juzi tu amewaita wehu baadhi ya washiriki ktk kongamano la Taasisi ya mwalimu Nyerere. Sasa nimekuwa ninashuku kuhusu kiwango cha elimu alichokuwa nacho huyu bwana? Yeyota mwenye data kuhusu elimu ya makamba amwage...
Luteni Yusuph Makamba! naskia alikuwa kikosi cha mizinga sasa ile mingurumo na milipuko ya mizinga ilifyatuaga baadhi ya fyuzi kichwani ndo mana hung'aka na kufyatuka namna ile! Kile kideo jamani sasa kama CCM wanamuandama Zitto namna ile si afadhali nasi tuwe na cha kuongelea ndani ya CCM. Leo hii mzee mzima JK nae ameng'aka patamu hapo yetu macho!
 
Sidhani kwamba kila mtu akiongea kitu ambacho haki eleweki ni kwa sababu ya kukosa elimu.Kuna watu wenye elimu na wanaongea pumba na kuna watu wasio na elimu wanaongea hekima. Mtu anapo ongea upumbavu tusi husishe moja kwa moja na kukosa elimu. Kuna watu wengi sana wame tendea taifa letu makubwa bila hiyo elimu.
 
Luteni Yusuph Makamba! naskia alikuwa kikosi cha mizinga sasa ile mingurumo na milipuko ya mizinga ilifyatuaga baadhi ya fyuzi kichwani ndo mana hung'aka na kufyatuka namna ile! Kile kideo jamani sasa kama CCM wanamuandama Zitto namna ile si afadhali nasi tuwe na cha kuongelea ndani ya CCM. Leo hii mzee mzima JK nae ameng'aka patamu hapo yetu macho!

Makamba ni kamanda kuifia ccm na Jk si Tz, jela yuko tayari kwenda, msalabani yuko tayari kusulubiwa kwa ajili ya mafissadi wanaokiwezesha ccm kushinda kwa kishindo kila uchaguzi
 
Luteni Yusuph Makamba! naskia alikuwa kikosi cha mizinga sasa ile mingurumo na milipuko ya mizinga ilifyatuaga baadhi ya fyuzi kichwani ndo mana hung'aka na kufyatuka namna ile! Kile kideo jamani sasa kama CCM wanamuandama Zitto namna ile si afadhali nasi tuwe na cha kuongelea ndani ya CCM. Leo hii mzee mzima JK nae ameng'aka patamu hapo yetu macho!
Kwahiyo elimu yake ni kulipua mizinga?
 
Makamba..
1.alikuwa mwalim wa UPE shule ya msingi Lushoto....
2.AKatunga wimbo wa TANU ambao ulikuja kutumiwa sana kueneza propaganda za TANU>>>JKN alitaka kujua nani alieutunga wimbo ule....akatafutwa .........safari ikaanzia hapo...akapelekwa kivukoni.....then JEshini
3.Waliingia Depo moja na JK jeshini........Monduli kama makada wa chama...(atamfia JK na si TZ)
4.Ni mlezi na support mkubwa sana wa watoto wa Makamba.....kielemi na kila kitu...
5.Alipokuwa jeshini akawa kada wa chama...........
6.Akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya......
7.Mwinyi akaja kumpa ukuu wa Mkoa....MG baadae KG na Dar
8.JK akaja kumpa ukatibu wa chama.......
9.Ndipo hapoo alipo...hana shule zaidi ile ya UPE na seminari.....O level
 
Mtu kuwa na matusi ni hulka/tabia, unaweza ukasoma na bado una mitusi.
 
Mara nyingi huyu katibu mkuu wa ccm amekuwa akiongea pumba sana katika matamshi yake.Mpaka juzi tu amewaita wehu baadhi ya washiriki ktk kongamano la Taasisi ya mwalimu Nyerere. Sasa nimekuwa ninashuku kuhusu kiwango cha elimu alichokuwa nacho huyu bwana? Yeyota mwenye data kuhusu elimu ya makamba amwage...

Mkuu nisaidieni kwa hili hata mi linanitaliza mno kuhusu IQ (intelligence quotient yake ) au uwezo wa akili yake kuelewa mambo wa huyu mpiganaji, manake jamaa anatema pumba so za kawaida kwa senior member (KATIBU MKUU) tena katika chama kinachotawala dola.

Hatutaki kujadili mtu hapa JF, lakini bwana huyu jamaa kazidi kutema pumba.

Nani ana majibu yake kumi ya makamba atuwekeee hapa tuyafanyie tathimini? Pia mwenye C.V yake anaweza itoa itusaidie kwenye uchambuzi.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZIII -----
 
Makamba..
1.alikuwa mwalim wa UPE shule ya msingi Lushoto....
2.AKatunga wimbo wa TANU ambao ulikuja kutumiwa sana kueneza propaganda za TANU>>>JKN alitaka kujua nani alieutunga wimbo ule....akatafutwa .........safari ikaanzia hapo...akapelekwa kivukoni.....then JEshini
3.Waliingia Depo moja na JK jeshini........Monduli kama makada wa chama...(atamfia JK na si TZ)
4.Ni mlezi na support mkubwa sana wa watoto wa Makamba.....kielemi na kila kitu...
5.Alipokuwa jeshini akawa kada wa chama...........
6.Akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya......
7.Mwinyi akaja kumpa ukuu wa Mkoa....MG baadae KG na Dar
8.JK akaja kumpa ukatibu wa chama.......
9.Ndipo hapoo alipo...hana shule zaidi ile ya UPE na seminari.....O level

Mkuu asante sana, KAZI IPO...
 
Alisomeshwa na wakoloni kule makerere.than oxford Uk .na alimalizia Harvad .😉

kwa nielewavyo mimi unaweza kusoma chuo ukafeli mwaka wa mwisho na kwahiyo utakuwa hujafuzu,je boss wa chama chetu alifuzu huko?
 
Makamba..
1.alikuwa mwalim wa UPE shule ya msingi Lushoto....
2.AKatunga wimbo wa TANU ambao ulikuja kutumiwa sana kueneza propaganda za TANU>>>JKN alitaka kujua nani alieutunga wimbo ule....akatafutwa .........safari ikaanzia hapo...akapelekwa kivukoni.....then JEshini
3.Waliingia Depo moja na JK jeshini........Monduli kama makada wa chama...(atamfia JK na si TZ)
4.Ni mlezi na support mkubwa sana wa watoto wa Makamba.....kielemi na kila kitu...
5.Alipokuwa jeshini akawa kada wa chama...........
6.Akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya......
7.Mwinyi akaja kumpa ukuu wa Mkoa....MG baadae KG na Dar
8.JK akaja kumpa ukatibu wa chama.......
9.Ndipo hapoo alipo...hana shule zaidi ile ya UPE na seminari.....O l

Kama kweli alitunga wimbo na ukakubaliwa Kitaifa,basi alitakiwa apewe PHD,maana atakuwa lazima alikaa chini na kutafakari,kazi aliyofanya ni zaidi hao wasomi wetu
 
Back
Top Bottom