Elimu ya kutunza fedha inahitajika

coco bella

JF-Expert Member
Nov 17, 2016
305
315
Nina miaka mitatu kazini, ninapata mshahara mzuri sana ila sielewi mshahara wangu unaishaje, siwezi kutunza fedha kabisa, mshahara ukiingia utafikiri napandwa na wazimu kila kitu nitataka ninunue ukiisha akili inakaa sawa. Nisaidieni jamani mwenye uelewa na mambo ya saving anifundishe jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina miaka mitatu kazini, ninapata mshahara mzuri sana ila sielewi mshahara wangu unaishaje, siwezi kutunza fedha kabisa, mshahara ukiingia utafikiri napandwa na wazimu kila kitu nitataka ninunue ukiisha akili inakaa sawa. Nisaidieni jamani mwenye uelewa na mambo ya saving anifundishe jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni ke au me?
 
Nina miaka mitatu kazini, ninapata mshahara mzuri sana ila sielewi mshahara wangu unaishaje, siwezi kutunza fedha kabisa, mshahara ukiingia utafikiri napandwa na wazimu kila kitu nitataka ninunue ukiisha akili inakaa sawa. Nisaidieni jamani mwenye uelewa na mambo ya saving anifundishe jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 16 nikiwa kwenye ajira, nilikua nalipwa mshahara mzuri na sikuwahi kutunza fedha yeyote zaidi ya kununua assets.
Mwaka 1 sasa nikiwa nimejiajiri, sijawahi kutunza fedha ikazidi 800,000 pasipo kupata cha kufanyia.
Nahitimisha kwa kusema kwamba, kutunza fedha ni uoga ulio tukuka.
Ebu tafuta pesa na uimiliki, huo ndio ujanja chief....
 
Ukipewa mbinu na Mimi nijulishe na mimi ninae matatizo kama yako
 
Kutunza pesa kunaanza na vipaumbele vya malengo uliyojiwekea.
Kama huna malengo pesa haiwezi kutunzika.
Anza na malengo kisha weka mkakati wa kufikia malengo yako kupitia chanzo chako (mshahara)
Malengo ya muda mfupi na muda mrefu yoote yawe na % kadhaa inayokuwa fixde
 
Waoga hupeleka Pesa Bank (kutunza) Wenyewe wanaita Akiba.

Majasili(wajasiliamali) huenda kuzichukua kama mkopo.
 
Back
Top Bottom