Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
Habarini wana jftech.,
napenda kufahamu machache juu ya haya madish mbalimbali ya kuaccess internet mfano wa hayo madish ni yale yanayopatikana kwenye mabenk mbalimbali.
napenda kujua vitu kadhaa kutoka kwenu wana technolojia
1.ukilihitaji unalinunua au linapatikana wapi hapa tanzania? Na gharama zake zikoje kulinunua mpaka kulifunga.
2.yanafanyeje kazi? Au yanakua na service provider mmoja anayetoa huduma kwa yote? Au unalipia sehemu fulani?.
3.yanapata signal kutoka wapi? Je ni kwenye satelite au sehemu gani?
4.je linaweza kumilikiwa na mtu binafsi au lazima iwe shirika au taasisi tu?
natumaini nitapata elimu tosha juu ya maswali niliyouliza pia kwa wenye maswali zaidi mnaweza uliza kwa faida ya wote tukapata ufahamu zaidi.
napenda kufahamu machache juu ya haya madish mbalimbali ya kuaccess internet mfano wa hayo madish ni yale yanayopatikana kwenye mabenk mbalimbali.
napenda kujua vitu kadhaa kutoka kwenu wana technolojia
1.ukilihitaji unalinunua au linapatikana wapi hapa tanzania? Na gharama zake zikoje kulinunua mpaka kulifunga.
2.yanafanyeje kazi? Au yanakua na service provider mmoja anayetoa huduma kwa yote? Au unalipia sehemu fulani?.
3.yanapata signal kutoka wapi? Je ni kwenye satelite au sehemu gani?
4.je linaweza kumilikiwa na mtu binafsi au lazima iwe shirika au taasisi tu?
natumaini nitapata elimu tosha juu ya maswali niliyouliza pia kwa wenye maswali zaidi mnaweza uliza kwa faida ya wote tukapata ufahamu zaidi.