mtumwa wa mungu
Member
- Dec 27, 2014
- 38
- 3
Habar wana jf jaman kwani wanawake sikugani ni salama kumwagiwa manii ndani
Habar wana jf jaman kwani wanawake sikugani ni salama kumwagiwa manii ndani
pale tu yai lake linapoanza kuchemka tumboni.
Una manisha siku ya ngap after period
teeh, teeehh!!!Hesabu siku nne kuanzia ile siku ya kwanza anayoanza siku zake. Au siku nne kabla ya kuanza siku zake. Kwa hiyo hapo unatakiwa ucheze na siku zake za hedhi. Kama njia hii ukiona ngumu jaribu siku za jumapili hakuna mimba inayoingia jumapili.
teeh, teeehh!!!
mimba za jumapili hazipo kweli?
Hesabu siku nne kuanzia ile siku ya kwanza anayoanza siku zake. Au siku nne kabla ya kuanza siku zake. Kwa hiyo hapo unatakiwa ucheze na siku zake za hedhi. Kama njia hii ukiona ngumu jaribu siku za jumapili hakuna mimba inayoingia jumapili.
aaaah ni kwel jumapili mimba haiingi mkuu
teeh, teeehh!!!
mimba za jumapili hazipo kweli?
Habar wana jf jaman kwani wanawake sikugani ni salama kumwagiwa manii ndani
Ni kweli, hakuna mimba inayoingia jumapili.
Ayseee kuna sababu yoyote ya kitalamu mkuu...maana madenti wengi wanaApointment jumapili na baada ya chipsi mimba