martyr2012
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 603
- 245
Hii issue ya elimu bure kwa vyuo vikuu ni dhana ya wajerumani na lengo lao ni kivutia wasomi kitoka nje ambao wanaleta fedha za kogeni.
UKAWA wanacopy na kupaste tu bila analysis!
Elimu bure afya bure huku ukitegemea wahisani ni upuuzi na sio mabadiliko.
Ndugu wana JF leo gazeti la Nipashe limetoa mchanganuo wa gharama za Elimu ambazo Lowassa anasema anaweza kuzikabili na hatimaye watanzania wakasoma bure hadi chuo kikuu . Ingawa naipenda Ukawa lakini dosari hizi za wazi katika kuchanganua mambo hazipaswi ziachwe bila kutolewa tahadhari ili mgombea wetu wa Ukawa apate kuaminiwa kwa kile anachokisema.
Kiukweli upembuzi ule umeacha maswali mengi bila majibu huku nikihoji uwezo wa serikali ya Ukawa kutoa Elimu hiyo bure kwa ngazi zote za Elimu kuanzia chekechea. Gharama za Elimu ya juu pekee ni 6% ya budget ya 2014/2015. Na ukweli hizo ni fedha za kujikimu za wanafunzi 300,000 tu kwa mwanafunzi mmoja kupewa TZS 4.5m. Hapo hatujazingatia mishahara ya waalimu, tuition fees na vifaa vya kufundishia.
Katika hali hii ni dhahira serikali itaelemewa na kutoa bora elimu kuliko elimu bora. Mzigo huo wa gharama ya elimu ukijumlishwa na shule za sekondari, msingi na chekechekea ni dhahiri elimu itachukua zaidi ya asilimia 20 ya budget ya nchi. Kama hii itakuwa hivyo ni dhahiri sekta nyingi muhimu zitaathirika na kupunguz a ufanisi wa serikali.
Tunahitaji majibu kutoka kwa ukawa kama kweli hii sera inaweza kutelezeka na kwa namna gani. Tusifanye masihara na hili. Lakini lazima watueleze kuhusu Tertiary Education nayo itakuwa buree au vipi?
Usijitoe ufahamu kwa kuruhusu ubongo wako kulala. Nyerere aliweza hilo unalosema haiwezekani tena bila kuuza madini yetu wala gesi yetu wala mafuta yetu pamoja na kusaidia uhuru wa nchi kibao za Africa. So ni mwendawazimu tu narudia ni mwendawazimu tu atasema Tanzania haiwezi kusomesha wananchi wake bure kwa rasilimali tulizonazo. Tatizo lako ni ubinafsi uliojaa moyo na kichwa chako na wanaokuzunguka ndio unakusumbua
Kutoa elimu bure kwa mchanganuo usioleweka na usio na ukweli!... Kusanya pesa kwanza kabla ya kuzipangia!Elimu bure inawezekana sana kama kutakuwa na dhamira ya kweli. kama mbunge analipwa mafao ya milioni 200 baada ya miaka mitano. kama mawaziri wanalipwa mamilioni kwa kuishi hotelini. nini kinachoshindikana?
Hii issue ya elimu bure kwa vyuo vikuu ni dhana ya wajerumani na lengo lao ni kivutia wasomi kitoka nje ambao wanaleta fedha za kogeni.
UKAWA wanacopy na kupaste tu bila analysis!
Elimu bure afya bure huku ukitegemea wahisani ni upuuzi na sio mabadiliko.
Ndugu wana JF leo gazeti la Nipashe limetoa mchanganuo wa gharama za Elimu ambazo Lowassa anasema anaweza kuzikabili na hatimaye watanzania wakasoma bure hadi chuo kikuu . Ingawa naipenda Ukawa lakini dosari hizi za wazi katika kuchanganua mambo hazipaswi ziachwe bila kutolewa tahadhari ili mgombea wetu wa Ukawa apate kuaminiwa kwa kile anachokisema.
Kiukweli upembuzi ule umeacha maswali mengi bila majibu huku nikihoji uwezo wa serikali ya Ukawa kutoa Elimu hiyo bure kwa ngazi zote za Elimu kuanzia chekechea. Gharama za Elimu ya juu pekee ni 6% ya budget ya 2014/2015. Na ukweli hizo ni fedha za kujikimu za wanafunzi 300,000 tu kwa mwanafunzi mmoja kupewa TZS 4.5m. Hapo hatujazingatia mishahara ya waalimu, tuition fees na vifaa vya kufundishia. Katika hali hii ni dhahira serikali itaelemewa na kutoa bora elimu kuliko elimu bora. Mzigo huo wa gharama ya elimu ukijumlishwa na shule za sekondari, msingi na chekechekea ni dhahiri elimu itachukua zaidi ya asilimia 20 ya budget ya nchi. Kama hii itakuwa hivyo ni dhahiri sekta nyingi muhimu zitaathirika na kupunguz a ufanisi wa serikali.
Tunahitaji majibu kutoka kwa ukawa kama kweli hii sera inaweza kutelezeka na kwa namna gani. Tusifanye masihara na hili. Lakini lazima watueleze kuhusu Tertiary Education nayo itakuwa buree au vipi?
Kutoa elimu bure kwa mchanganuo usioleweka na usio na ukweli!... Kusanya pesa kwanza kabla ya kuzipangia!
Home shopping centre wanakwepa sana kodi huku wakitoza gharama za juu sana kwenye usafirishaji! Hujaweka gesi na mianya kibao ya ukwepaji kodi! It's very easy to control it by the way!
Hivi unategemea majibu ya maana tola ukawa au toka kwa fisadi lowasa, Lowasa anadhani uraisi unachukuliwa tu kwa kudanganya wananchi.